Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Hosea—Yaliyomo

      • Waefraimu na watu wa Yuda wahukumiwa (1-15)

Hosea 5:1

Marejeo

  • +Ho. 4:9
  • +Amu 4:6; Yer 46:18

Hosea 5:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “waasi.”

  • *

    Au “wamejitumbukiza kabisa.”

  • *

    Au “nitawatia nidhamu.”

Hosea 5:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mmefanya uasherati; mmefanya umalaya.”

Marejeo

  • +Eze 23:4, 5; Ho. 4:17, 18

Hosea 5:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “umalaya.”

Marejeo

  • +Ho. 4:12; Amo 2:7

Hosea 5:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbele za uso wao.”

Marejeo

  • +Isa 9:9, 10; Ho. 7:10
  • +2Fa 17:19, 20; Eze 23:30, 31; Amo 2:4, 5

Hosea 5:6

Marejeo

  • +Isa 1:15; Mik 3:4

Hosea 5:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Watanyafuliwa katika mwezi mmoja.”

  • *

    Au “mashamba yao.”

Marejeo

  • +Isa 48:8; Yer 3:20

Hosea 5:8

Marejeo

  • +Ho. 8:1
  • +Isa 10:29
  • +Ho. 4:15; 10:5

Hosea 5:9

Marejeo

  • +Isa 28:1-3; Ho. 9:13

Hosea 5:10

Marejeo

  • +Kum 19:14

Hosea 5:11

Marejeo

  • +1Fa 20:1

Hosea 5:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Aina fulani ya wadudu waharibifu.

Hosea 5:13

Marejeo

  • +Ho. 8:9; 12:1

Hosea 5:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mwanasimba mwenye manyoya marefu shingoni.”

Marejeo

  • +Zb 50:22
  • +Amo 2:14

Hosea 5:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “uso wangu.”

Marejeo

  • +Law 26:38, 40
  • +Kum 4:29, 30; 30:10

Jumla

Hos. 5:1Ho. 4:9
Hos. 5:1Amu 4:6; Yer 46:18
Hos. 5:3Eze 23:4, 5; Ho. 4:17, 18
Hos. 5:4Ho. 4:12; Amo 2:7
Hos. 5:5Isa 9:9, 10; Ho. 7:10
Hos. 5:52Fa 17:19, 20; Eze 23:30, 31; Amo 2:4, 5
Hos. 5:6Isa 1:15; Mik 3:4
Hos. 5:7Isa 48:8; Yer 3:20
Hos. 5:8Ho. 8:1
Hos. 5:8Isa 10:29
Hos. 5:8Ho. 4:15; 10:5
Hos. 5:9Isa 28:1-3; Ho. 9:13
Hos. 5:10Kum 19:14
Hos. 5:111Fa 20:1
Hos. 5:13Ho. 8:9; 12:1
Hos. 5:14Zb 50:22
Hos. 5:14Amo 2:14
Hos. 5:15Law 26:38, 40
Hos. 5:15Kum 4:29, 30; 30:10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Hosea 5:1-15

Hosea

5 “Sikieni jambo hili, enyi makuhani,+

Sikiliza kwa makini, Ee nyumba ya Israeli,

Sikiliza, Ee nyumba ya mfalme,

Kwa maana hukumu inawahusu ninyi;

Kwa sababu ninyi ni mtego kwa Mispa

Na wavu uliotandazwa juu ya Tabori.+

 2 Na wale wanaoanguka* wamezama ndani kabisa* katika mauaji,

Nami ninawaonya* wote.

 3 Ninawajua Waefraimu,

Na Waisraeli hawajafichika mbele zangu.

Kwa maana sasa, enyi Waefraimu, mmefanya ngono ovyoovyo;*

Waisraeli wamejichafua wenyewe.+

 4 Shughuli zao haziwaruhusu wamrudie Mungu wao,

Kwa sababu kuna roho ya ukahaba* miongoni mwao;+

Nao hawamtambui Yehova.

 5 Kiburi cha Waisraeli kimetoa ushahidi dhidi yao;*+

Waisraeli na Waefraimu wamejikwaa katika kosa lao,

Na watu wa Yuda wamejikwaa pamoja nao.+

 6 Walienda kumtafuta Yehova wakiwa na kundi lao la kondoo na kundi lao la ng’ombe,

Lakini hawakuweza kumpata.

Alikuwa amejitenga mbali nao.+

 7 Wamemsaliti Yehova,+

Kwa sababu wamekuwa baba za wana wa kigeni.

Sasa mwezi mmoja utawanyafua* pamoja na mafungu* yao.

 8 Pigeni pembe+ huko Gibea, tarumbeta huko Rama!+

Pigeni kelele za vita huko Beth-aveni+—tunawafuata, enyi Wabenjamini!

 9 Enyi Waefraimu, mtakuwa kitu cha kutisha katika siku ya adhabu.+

Nimetangaza jambo ambalo hakika litatukia miongoni mwa makabila ya Israeli.

10 Wakuu wa Yuda ni kama wale wanaosogeza mpaka.+

Nitawamwagia ghadhabu yangu kama maji.

11 Waefraimu wamekandamizwa, wamepondwa na hukumu,

Kwa maana waliazimia kumfuata adui yao.+

12 Kwa hiyo nilikuwa kama nondo* kwa Waefraimu

Na kama uozo kwa nyumba ya Yuda.

13 Waefraimu walipoona ugonjwa wao, na watu wa Yuda kidonda chao,

Waefraimu walienda Ashuru+ na kutuma wajumbe kwa mfalme mkuu.

Lakini hakuweza kuwaponya,

Wala hakuweza kuponya kidonda chenu.

14 Kwa maana nitakuwa kama mwanasimba kwa Waefraimu,

Na kama simba mwenye nguvu* kwa nyumba ya Yuda.

Mimi mwenyewe nitawararua vipandevipande na kwenda zangu;+

Nitawabeba na kwenda nao, na hakuna yeyote atakayewaokoa.+

15 Nitaenda na kurudi mahali pangu mpaka watakapolipia hatia yao,

Na kisha watatafuta kibali changu.*+

Watakapokuwa wakiteseka, watanitafuta.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki