Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Hosea—Yaliyomo

      • Mke wa Hosea na watoto anaozaa (1-9)

        • Yezreeli (4), Lo-ruhama (6), na Lo-ami (9)

      • Tumaini la kurudishwa na kuwa na umoja (10, 11)

Hosea 1:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ufupisho wa jina Hoshaya, linalomaanisha “Aliyeokolewa na Yah; Yah Ameokoa.”

Marejeo

  • +2Nya 26:1, 3, 4
  • +2Fa 15:32-34
  • +2Fa 16:1-3
  • +2Fa 18:1-3
  • +Isa 1:1; Mik 1:1
  • +2Fa 14:23, 24; Amo 1:1
  • +2Fa 13:10, 11

Hosea 1:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “malaya.”

  • *

    Au “umalaya.”

  • *

    Au “umalaya.”

Marejeo

  • +Kum 31:16; Ho. 3:1

Hosea 1:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Mungu Atapanda Mbegu.”

Marejeo

  • +2Fa 10:29-31
  • +2Fa 15:8, 10

Hosea 1:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nchi Tambarare ya Chini ya.”

Hosea 1:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Hajaonyeshwa Rehema.”

Marejeo

  • +Ho. 2:23
  • +2Fa 17:6, 22, 23

Hosea 1:7

Marejeo

  • +Ho. 11:12
  • +2Fa 19:34, 35
  • +Isa 37:36

Hosea 1:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Si Watu Wangu.”

Hosea 1:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, wana wa Israeli.

Marejeo

  • +Mwa 13:16; 22:17
  • +1Pe 2:10
  • +Ro 9:25, 26; 2Ko 6:18

Hosea 1:11

Marejeo

  • +Ezr 3:1; Isa 11:12; Yer 3:18; Eze 37:19; Mik 2:12
  • +Ho. 2:22

Jumla

Hos. 1:12Nya 26:1, 3, 4
Hos. 1:12Fa 15:32-34
Hos. 1:12Fa 16:1-3
Hos. 1:12Fa 18:1-3
Hos. 1:1Isa 1:1; Mik 1:1
Hos. 1:12Fa 14:23, 24; Amo 1:1
Hos. 1:12Fa 13:10, 11
Hos. 1:2Kum 31:16; Ho. 3:1
Hos. 1:42Fa 10:29-31
Hos. 1:42Fa 15:8, 10
Hos. 1:6Ho. 2:23
Hos. 1:62Fa 17:6, 22, 23
Hos. 1:7Ho. 11:12
Hos. 1:72Fa 19:34, 35
Hos. 1:7Isa 37:36
Hos. 1:10Mwa 13:16; 22:17
Hos. 1:101Pe 2:10
Hos. 1:10Ro 9:25, 26; 2Ko 6:18
Hos. 1:11Ezr 3:1; Isa 11:12; Yer 3:18; Eze 37:19; Mik 2:12
Hos. 1:11Ho. 2:22
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Hosea 1:1-11

Hosea

1 Neno la Yehova lililomjia Hosea* mwana wa Beeri katika siku za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda,+ na katika siku za Yeroboamu+ mwana wa Yoashi,+ mfalme wa Israeli. 2 Yehova alipoanza kusema neno lake kupitia Hosea, Yehova alimwambia hivi Hosea: “Nenda, muoe mwanamke kahaba* na uzae watoto wa ukahaba,* kwa sababu nchi imeacha kabisa kumfuata Yehova kwa sababu ya ukahaba.”*+

3 Basi akaenda na kumwoa Gomeri binti ya Diblaimu, na Gomeri akapata mimba na kumzalia mwana.

4 Kisha Yehova akamwambia Hosea: “Mpe mwana huyo jina Yezreeli,* kwa sababu baada ya muda mfupi tu nitaifanya nyumba ya Yehu+ iwajibike kwa sababu ya matendo ya umwagaji wa damu ya Yezreeli, nami nitaukomesha utawala wa wafalme wa Israeli.+ 5 Siku hiyo nitavunja upinde wa Israeli katika Bonde la* Yezreeli.”

6 Gomeri akapata mimba tena na kuzaa binti. Mungu akamwambia Hosea: “Mpe binti huyo jina Lo-ruhama,* kwa maana sitaionyesha tena rehema+ nyumba ya Israeli, kwa sababu kwa hakika nitawafukuza.+ 7 Lakini nitaionyesha rehema nyumba ya Yuda,+ nami nitawaokoa kwa nguvu za Yehova Mungu wao;+ sitawaokoa kwa upinde au kwa upanga au kwa vita au kwa farasi au kwa wapanda farasi.”+

8 Baada ya kumwachisha Lo-ruhama kunyonya, Gomeri alipata mimba na kuzaa mwana. 9 Kisha Mungu akasema: “Mpe mwana huyo jina Lo-ami,* kwa sababu ninyi si watu wangu nami sitakuwa Mungu wenu.

10 “Na Waisraeli* watakuwa wengi kama chembe za mchanga wa bahari, ambao hauwezi kupimwa wala kuhesabiwa.+ Na mahali ambapo Mungu aliwaambia, ‘Ninyi si watu wangu,’+ atawaita, ‘Wana wa Mungu aliye hai.’+ 11 Na watu wa Yuda na wa Israeli watakusanywa pamoja ili wawe na umoja+ nao watajichagulia kiongozi mmoja na kupanda kutoka nchini, kwa maana siku ya Yezreeli itakuwa kuu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki