Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 6
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Hosea—Yaliyomo

      • Wasihiwa wamrudie Yehova (1-3)

      • Upendo mshikamanifu usiodumu wa Waisraeli (4-6)

        • Upendo mshikamanifu ni bora kuliko dhabihu (6)

      • Mwenendo wa aibu wa Waisraeli (7-11)

Hosea 6:1

Marejeo

  • +Ho. 5:14

Hosea 6:5

Marejeo

  • +Isa 58:1; Yer 1:9, 10; Eze 3:8, 9
  • +Yer 23:29
  • +Sef 3:5

Hosea 6:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “rehema.”

Marejeo

  • +1Sa 15:22; Met 21:3; Isa 1:11; Mik 6:6-8; Mt 9:13; 12:7

Hosea 6:7

Marejeo

  • +2Fa 17:15; Isa 24:5; Ho. 8:1

Hosea 6:8

Marejeo

  • +Ho. 12:11
  • +Mik 7:2

Hosea 6:9

Marejeo

  • +1Fa 12:25

Hosea 6:10

Marejeo

  • +2Fa 17:6, 7; Yer 3:6
  • +Eze 23:4, 5

Hosea 6:11

Marejeo

  • +Kum 30:3; Yer 29:14; Amo 9:14

Jumla

Hos. 6:1Ho. 5:14
Hos. 6:5Isa 58:1; Yer 1:9, 10; Eze 3:8, 9
Hos. 6:5Yer 23:29
Hos. 6:5Sef 3:5
Hos. 6:61Sa 15:22; Met 21:3; Isa 1:11; Mik 6:6-8; Mt 9:13; 12:7
Hos. 6:72Fa 17:15; Isa 24:5; Ho. 8:1
Hos. 6:8Ho. 12:11
Hos. 6:8Mik 7:2
Hos. 6:91Fa 12:25
Hos. 6:102Fa 17:6, 7; Yer 3:6
Hos. 6:10Eze 23:4, 5
Hos. 6:11Kum 30:3; Yer 29:14; Amo 9:14
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Hosea 6:1-11

Hosea

6 “Njooni, tumrudie Yehova,

Kwa maana ameturarua vipandevipande,+ lakini atatuponya.

Alitupiga, lakini atafunga majeraha yetu.

 2 Atatuhuisha baada ya siku mbili.

Siku ya tatu atatuinua,

Nasi tutaishi mbele zake.

 3 Tutamjua, tutajitahidi kumjua Yehova.

Kuja kwake ni hakika kama mapambazuko;

Atakuja kwetu kama mvua kubwa,

Kama mvua ya masika inayolowesha dunia.”

 4 “Niwafanyie nini, enyi Waefraimu?

Niwafanyie nini, enyi watu wa Yuda,

Kwa maana upendo wenu mshikamanifu ni kama ukungu wa asubuhi,

Kama umande unaotoweka haraka.

 5 Ndiyo sababu nitawakatakata kabisa kwa kutumia manabii;+

Nitawaua kwa maneno ya kinywa changu.+

Na hukumu zangu dhidi yenu zitang’aa kama mwangaza.+

 6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mshikamanifu,* si dhabihu,

Na kumjua Mungu, badala ya dhabihu nzima za kuteketezwa.+

 7 Lakini wao, kama wanadamu tu, wamevunja agano.+

Wamenisaliti katika nchi yao.

 8 Gileadi ni mji wa watenda maovu,+

Umefunikwa kwa nyayo za damu.+

 9 Magenge ya makuhani ni kama makundi ya wavamizi yanayomvizia mtu.

Wanawaua watu barabarani kule Shekemu,+

Kwa maana mwenendo wao ni wa aibu.

10 Nimeona jambo la kuchukiza sana katika nyumba ya Israeli.

Huko Waefraimu hufanya ukahaba;+

Waisraeli wamejichafua wenyewe.+

11 Zaidi ya hayo, enyi watu wa Yuda, wakati wa mavuno umetengwa kwa ajili yenu,

Nitakapowakusanya watu wangu waliotekwa.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki