Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Hosea—Yaliyomo

      • Uovu wa Waefraimu (1-16)

        • Hawataepuka wavu wa Mungu (12)

Hosea 7:1

Marejeo

  • +Isa 28:1
  • +Amo 8:14; Mik 1:5
  • +Mik 7:3
  • +Ho. 6:9

Hosea 7:2

Marejeo

  • +Kum 32:29; Isa 1:3; Amo 8:7

Hosea 7:5

Marejeo

  • +Isa 5:11; 28:1

Hosea 7:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Mioyo yao ni kama jiko wanapokaribia kwa hila.”

Hosea 7:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “waamuzi.”

Marejeo

  • +2Fa 15:8, 10, 14
  • +Isa 9:13

Hosea 7:8

Marejeo

  • +Zb 106:34-36; Eze 23:4, 5

Hosea 7:9

Marejeo

  • +2Fa 13:3; 15:19

Hosea 7:10

Marejeo

  • +Ho. 5:5
  • +Ne 9:35; Isa 9:13; Amo 4:6; Zek 1:4

Hosea 7:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “asiye na moyo.”

Marejeo

  • +Isa 1:3
  • +2Fa 15:19; Eze 23:4, 5
  • +2Fa 17:4; Isa 31:1

Hosea 7:12

Marejeo

  • +Kum 28:15; 2Fa 17:13

Hosea 7:13

Marejeo

  • +Isa 59:13

Hosea 7:14

Marejeo

  • +Zb 78:37; Isa 29:13

Hosea 7:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, hawakufuata ibada iliyokwezwa.

Marejeo

  • +Zb 78:57
  • +Eze 36:19, 20; Ho. 9:3

Jumla

Hos. 7:1Isa 28:1
Hos. 7:1Amo 8:14; Mik 1:5
Hos. 7:1Mik 7:3
Hos. 7:1Ho. 6:9
Hos. 7:2Kum 32:29; Isa 1:3; Amo 8:7
Hos. 7:5Isa 5:11; 28:1
Hos. 7:72Fa 15:8, 10, 14
Hos. 7:7Isa 9:13
Hos. 7:8Zb 106:34-36; Eze 23:4, 5
Hos. 7:92Fa 13:3; 15:19
Hos. 7:10Ho. 5:5
Hos. 7:10Ne 9:35; Isa 9:13; Amo 4:6; Zek 1:4
Hos. 7:11Isa 1:3
Hos. 7:112Fa 15:19; Eze 23:4, 5
Hos. 7:112Fa 17:4; Isa 31:1
Hos. 7:12Kum 28:15; 2Fa 17:13
Hos. 7:13Isa 59:13
Hos. 7:14Zb 78:37; Isa 29:13
Hos. 7:16Zb 78:57
Hos. 7:16Eze 36:19, 20; Ho. 9:3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Hosea 7:1-16

Hosea

7 “Ninapotaka kuwaponya Waisraeli,

Kosa la Waefraimu hufunuliwa pia,+

Na uovu wa Samaria.+

Kwa maana wamezoea udanganyifu;+

Wezi huvunja na kuingia ndani na makundi ya wavamizi hushambulia nje.+

 2 Lakini hawasemi moyoni mwao kwamba mimi nitakumbuka uovu wao wote.+

Sasa wamezungukwa kabisa na shughuli zao;

Ziko mbele kabisa ya uso wangu.

 3 Wanamfanya mfalme ashangilie kwa uovu wao,

Na wakuu kwa udanganyifu wao.

 4 Wote ni wazinzi,

Wanawaka kama jiko lililowashwa moto na mwokaji,

Ambaye huacha kuchochea moto baada ya kukanda unga na kuuacha uumuke.

 5 Katika siku ya mfalme wetu, wakuu wamekuwa wagonjwa

—Wana ghadhabu kwa sababu ya divai.+

Amewanyooshea mkono wadhihaki.

 6 Kwa maana wanakaribia kwa mioyo inayowaka kama jiko.*

Mwokaji hulala usiku kucha;

Asubuhi jiko huwaka kama miali ya moto.

 7 Wote wanawaka moto kama jiko,

Nao wanawanyafua watawala* wao.

Wafalme wao wote wameanguka;+

Hakuna yeyote kati yao anayenililia.+

 8 Waefraimu huchangamana na mataifa.+

Waefraimu ni kama keki ya mviringo ambayo haijaokwa upande mmoja.

 9 Wageni wamenyonya nguvu zao,+ lakini hawajui.

Na mvi zimejaa kichwani, lakini hawana habari.

10 Kiburi cha Waisraeli kimetoa ushahidi dhidi yao,+

Lakini hawajamrudia Yehova Mungu wao,+

Wala hawajamtafuta licha ya hayo yote.

11 Waefraimu ni kama njiwa mjinga, asiye na akili.*+

Wameomba msaada Misri;+ wameenda Ashuru.+

12 Popote waendapo, nitatandaza wavu wangu juu yao.

Nitawaangusha kama ndege wa angani.

Nitawatia nidhamu kulingana na onyo ambalo kusanyiko lao lilipewa.+

13 Ole wao, kwa sababu wamenikimbia!

Wataangamia, kwa maana wameniasi!

Nilikuwa tayari kuwakomboa, lakini wamesema uwongo dhidi yangu.+

14 Hawakuniomba msaada kutoka moyoni mwao,+

Ingawa waliendelea kulia kwa sauti kubwa vitandani mwao.

Walijikatakata kwa sababu ya nafaka na divai yao mpya;

Wananigeuka.

15 Ingawa niliwatia nidhamu na kuimarisha mikono yao,

Wananipinga, wakipanga njama ya kutenda uovu.

16 Walibadili njia yao, lakini hawakufuata chochote kilichokwezwa;*

Walikuwa wasiotegemeka kama upinde uliolegea.+

Wakuu wao wataangamizwa kwa upanga kwa sababu ya ndimi zao za ukaidi.

Kwa sababu hiyo watadhihakiwa katika nchi ya Misri.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki