Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 14
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Hosea—Yaliyomo

      • Wasihiwa wamrudie Yehova (1-3)

        • Kutoa sifa ya midomo (2)

      • Waisraeli waponywa, hawatakosa uaminifu tena (4-9)

Hosea 14:1

Marejeo

  • +2Nya 30:6; Isa 55:6, 7; Ho. 12:6; Yoe 2:12, 13

Hosea 14:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nasi tutakutolea ng’ombe dume wachanga wa midomo yetu.”

Marejeo

  • +Mik 7:18
  • +Ebr 13:15

Hosea 14:3

Marejeo

  • +Ho. 5:13
  • +Isa 31:1
  • +Kum 10:17, 18

Hosea 14:4

Marejeo

  • +Zb 103:3; Isa 57:18
  • +Sef 3:17
  • +Isa 12:1

Hosea 14:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Ukumbusho.”

Marejeo

  • +Zek 8:12

Hosea 14:8

Marejeo

  • +Ho. 14:3
  • +Yer 31:18

Hosea 14:9

Marejeo

  • +Kum 32:4

Jumla

Hos. 14:12Nya 30:6; Isa 55:6, 7; Ho. 12:6; Yoe 2:12, 13
Hos. 14:2Mik 7:18
Hos. 14:2Ebr 13:15
Hos. 14:3Ho. 5:13
Hos. 14:3Isa 31:1
Hos. 14:3Kum 10:17, 18
Hos. 14:4Zb 103:3; Isa 57:18
Hos. 14:4Sef 3:17
Hos. 14:4Isa 12:1
Hos. 14:7Zek 8:12
Hos. 14:8Ho. 14:3
Hos. 14:8Yer 31:18
Hos. 14:9Kum 32:4
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Hosea 14:1-9

Hosea

14 “Enyi Waisraeli, mrudieni Yehova Mungu wenu,+

Kwa maana mmejikwaa kwa sababu ya kosa lenu.

 2 Mrudieni Yehova kwa maneno haya,

Mwambieni, ‘Tusamehe kosa letu+ na ukubali yaliyo mema,

Nasi tutatoa sifa ya midomo yetu+ kama vile ambavyo tungetoa ng’ombe dume wachanga.*

 3 Ashuru haitatuokoa.+

Hatutapanda farasi,+

Na hatutaziambia tena kazi za mikono yetu, “Ee Mungu wetu!”

Kwa sababu ni wewe unayemwonyesha yatima rehema.’+

 4 Nitauponya ukosefu wao wa uaminifu.+

Nitawapenda kwa hiari yangu mwenyewe,+

Kwa sababu hasira yangu imegeuka na kuwaacha.+

 5 Nitakuwa kama umande kwa Waisraeli;

Watachanua kama yungiyungi

Nao wataipenyeza chini mizizi yao kama miti ya Lebanoni.

 6 Vitawi vyao vitasambaa,

Fahari yao itakuwa kama ya mzeituni,

Na manukato yao kama ya Lebanoni.

 7 Watakaa tena chini ya kivuli chake.

Watapanda nafaka na kutokeza matumba kama mzabibu.+

Umaarufu* wao utakuwa kama wa divai ya Lebanoni.

 8 Waefraimu watasema, ‘Tunahitaji tena sanamu za nini?’+

Nitawajibu na kuwalinda.+

Nitakuwa kama mberoshi unaositawi.

Mtapata matunda yenu kutoka kwangu.”

 9 Ni nani aliye na hekima? Na aelewe mambo haya.

Ni nani aliye na busara? Na ayajue mambo hayo.

Kwa maana njia za Yehova zimenyooka,+

Na waadilifu watatembea katika njia hizo;

Lakini watenda dhambi watajikwaa humo.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki