Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 2
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Hosea—Yaliyomo

      • Waisraeli wasio waaminifu waadhibiwa (1-13)

      • Wamrudia Yehova akiwa kama mume wao (14-23)

        • “Utaniita mume Wangu” (16)

Hosea 2:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia maelezo ya chini ya Hosea 1:9.

  • *

    Angalia maelezo ya chini ya Hosea 1:6.

Marejeo

  • +Yer 31:33; Eze 36:28; Zek 13:9
  • +Ho. 2:23

Hosea 2:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “umalaya.”

Marejeo

  • +Yer 3:8

Hosea 2:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “umalaya.”

Hosea 2:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “umalaya.”

  • *

    Au “chakula changu.”

Marejeo

  • +Eze 23:4, 5; Ho. 3:1
  • +Ezr 9:6; Da 9:7; Ho. 9:10
  • +Eze 23:7, 8; Ho. 8:9

Hosea 2:7

Marejeo

  • +Isa 31:1; Ho. 5:13
  • +Yer 31:18; Eze 23:4; Ho. 5:15
  • +Kum 32:12-14; Ne 9:25

Hosea 2:8

Marejeo

  • +Kum 32:28; Isa 1:3
  • +Ho. 8:4

Hosea 2:9

Marejeo

  • +Isa 17:11

Hosea 2:10

Marejeo

  • +Zb 50:22; Ho. 5:14

Hosea 2:11

Marejeo

  • +Amo 5:21; 8:10

Hosea 2:13

Marejeo

  • +Amu 3:7; 1Fa 16:30-32; 2Fa 10:28; Ho. 11:2
  • +Isa 17:10

Hosea 2:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nchi Tambarare ya Chini ya.”

Marejeo

  • +Kum 30:5; Isa 65:21; Yer 32:15; Eze 28:25, 26; Amo 9:14
  • +Yos 7:24-26; Isa 65:10
  • +Kut 15:1

Hosea 2:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Baali Wangu.”

Hosea 2:17

Marejeo

  • +Kut 23:13; Yos 23:6, 7
  • +Zek 13:2

Hosea 2:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au, “waishi.”

Marejeo

  • +Eze 34:25
  • +Isa 11:6-8
  • +Isa 2:4; Eze 39:9; Zek 9:10
  • +Law 26:5, 6; Yer 23:6; Mik 4:3, 4

Hosea 2:19

Marejeo

  • +Mik 7:18

Hosea 2:20

Marejeo

  • +Isa 54:13; Yer 24:7; 31:34

Hosea 2:21

Marejeo

  • +Kum 28:12; Zek 8:12

Hosea 2:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Mungu Atapanda Mbegu.”

Marejeo

  • +Ho. 1:11

Hosea 2:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia maelezo ya chini ya Hosea 1:6.

  • *

    Angalia maelezo ya chini ya Hosea 1:9.

Marejeo

  • +Yer 31:27
  • +Ho. 2:1; Ro 9:25, 26; 1Pe 2:10
  • +Ho. 1:10

Jumla

Hos. 2:1Yer 31:33; Eze 36:28; Zek 13:9
Hos. 2:1Ho. 2:23
Hos. 2:2Yer 3:8
Hos. 2:5Eze 23:4, 5; Ho. 3:1
Hos. 2:5Ezr 9:6; Da 9:7; Ho. 9:10
Hos. 2:5Eze 23:7, 8; Ho. 8:9
Hos. 2:7Isa 31:1; Ho. 5:13
Hos. 2:7Yer 31:18; Eze 23:4; Ho. 5:15
Hos. 2:7Kum 32:12-14; Ne 9:25
Hos. 2:8Kum 32:28; Isa 1:3
Hos. 2:8Ho. 8:4
Hos. 2:9Isa 17:11
Hos. 2:10Zb 50:22; Ho. 5:14
Hos. 2:11Amo 5:21; 8:10
Hos. 2:13Amu 3:7; 1Fa 16:30-32; 2Fa 10:28; Ho. 11:2
Hos. 2:13Isa 17:10
Hos. 2:15Kum 30:5; Isa 65:21; Yer 32:15; Eze 28:25, 26; Amo 9:14
Hos. 2:15Yos 7:24-26; Isa 65:10
Hos. 2:15Kut 15:1
Hos. 2:17Kut 23:13; Yos 23:6, 7
Hos. 2:17Zek 13:2
Hos. 2:18Eze 34:25
Hos. 2:18Isa 11:6-8
Hos. 2:18Isa 2:4; Eze 39:9; Zek 9:10
Hos. 2:18Law 26:5, 6; Yer 23:6; Mik 4:3, 4
Hos. 2:19Mik 7:18
Hos. 2:20Isa 54:13; Yer 24:7; 31:34
Hos. 2:21Kum 28:12; Zek 8:12
Hos. 2:22Ho. 1:11
Hos. 2:23Yer 31:27
Hos. 2:23Ho. 2:1; Ro 9:25, 26; 1Pe 2:10
Hos. 2:23Ho. 1:10
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Hosea 2:1-23

Hosea

2 “Waambieni ndugu zenu, ‘Ninyi ni watu wangu!’*+

Na dada zenu, ‘Enyi wanawake mlioonyeshwa rehema!’*+

 2 Mshtakini mama yenu; mshtakini,

Kwa maana yeye si mke wangu+ nami si mume wake.

Anapaswa kuacha ukahaba*

Na uzinzi kutoka kati ya matiti yake,

 3 La sivyo nitamvua nguo abaki uchi kama alivyozaliwa,

Nitamfanya awe kama nyika,

Nitamfanya awe nchi isiyo na maji,

Na kusababisha afe kwa kiu.

 4 Nami sitawaonyesha rehema wanawe,

Kwa maana ni wana wa ukahaba.*

 5 Kwa maana mama yao amefanya ukahaba.*+

Aliyewachukua mimba ametenda kwa aibu,+ kwa kuwa alisema,

‘Nitawafuatia wapenzi wangu,+

Wanaonipa mkate wangu* na maji yangu,

Sufu yangu na kitani changu, mafuta yangu na kinywaji changu.’

 6 Basi nitaziba njia yako kwa uzio wa miiba;

Nami nitajenga ukuta wa mawe ili kumzuia,

Ili asiweze kupata njia za kutokea.

 7 Atawafuatia wapenzi wake, lakini hatawapata;+

Atawatafuta, lakini hatawapata.

Kisha atasema, ‘Nitarudi kwa mume wangu wa kwanza,+

Kwa maana nilikuwa na hali njema zaidi wakati huo kuliko sasa.’+

 8 Hakutambua kwamba mimi ndiye niliyempa nafaka,+ divai mpya, na mafuta,

Na mimi ndiye niliyempa fedha nyingi

Na dhahabu, waliyotumia kumtumikia Baali.+

 9 ‘Kwa hiyo, nitarudi na kuchukua nafaka yangu itakapokomaa

Na divai yangu mpya katika majira yake,+

Nami nitampokonya sufu yangu na kitani changu kilichokusudiwa kufunika uchi wake.

10 Naam, nitafunua sehemu zake za siri ili wapenzi wake wazione waziwazi,

Na hakuna mtu yeyote atakayemwokoa kutoka mikononi mwangu.+

11 Nitakomesha shangwe yake yote,

Sherehe zake,+ miezi yake mipya, sabato zake, na misimu yake yote ya sherehe.

12 Nami nitaharibu mizabibu yake na mitini yake, ambayo amesema hivi kuihusu:

“Haya ni malipo yangu, niliyopewa na wapenzi wangu”;

Nitaifanya iwe misitu,

Na wanyama wa mwituni wataila kwa pupa.

13 Nitamfanya awajibike kwa sababu ya siku alizotumia kutoa dhabihu kwa sanamu za Baali,+

Alipokuwa akijipamba kwa pete zake na mapambo yake na kuwafuatia wapenzi wake,

Na mimi ndiye aliyenisahau,’+ asema Yehova.

14 ‘Kwa hiyo nitamshawishi,

Nitampeleka nyikani,

Nami nitazungumza naye ili kuuteka moyo wake.

15 Nitamrudishia mashamba yake ya mizabibu kuanzia wakati huo na kuendelea,+

Na Bonde la* Akori+ liwe lango la tumaini;

Atanijibu huko kama alivyofanya alipokuwa kijana,

Kama siku aliyotoka katika nchi ya Misri.+

16 Na siku hiyo,’ asema Yehova,

‘Utaniita mume Wangu, hutaniita tena bwana Wangu.’*

17 ‘Nitaondoa majina ya sanamu za Baali katika kinywa chake,+

Na majina yake hayatakumbukwa tena.+

18 Siku hiyo nitafanya agano na wanyama wa mwituni kwa ajili ya watu wangu,+

Pia na ndege wa angani na viumbe wa ardhini wanaotambaa;+

Nitaondoa upinde na upanga na vita nchini,+

Nami nitawafanya walale* kwa usalama.+

19 Nitakuchumbia ili uwe wangu milele;

Nitakuchumbia kwa uadilifu na kwa haki,

Kwa upendo mshikamanifu na kwa rehema.+

20 Nitakuchumbia kwa uaminifu,

Nawe hakika utanijua mimi, Yehova.’+

21 ‘Siku hiyo nitajibu,’ asema Yehova,

‘Nitazijibu mbingu,

Nazo zitaijibu dunia;+

22 Nayo dunia itajibu nafaka na divai mpya na mafuta;

Navyo vitajibu Yezreeli.*+

23 Nitampanda kama mbegu kwa ajili yangu duniani,+

Nami nitamwonyesha rehema yule ambaye hakuonyeshwa rehema;*

Nitawaambia wale ambao si watu wangu:* “Ninyi ni watu wangu,”+

Nao watasema: “Wewe ni Mungu wetu.”’”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki