Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nahumu 1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Nahumu—Yaliyomo

      • Mungu awalipiza kisasi maadui wake (1-7)

        • Mungu anataka watu wamwabudu yeye peke yake (2)

        • Yehova huwajali wanaomkimbilia (7)

      • Ninawi kuangamizwa (8-14)

        • Taabu haitatokea mara ya pili (9)

      • Taifa la Yuda latangaziwa habari njema (15)

Nahumu 1:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Mfariji.”

Marejeo

  • +Isa 10:12; Nah 3:7; Sef 2:13

Nahumu 1:2

Marejeo

  • +Kut 20:5
  • +Kum 32:35, 41; Isa 59:18

Nahumu 1:3

Marejeo

  • +Hes 14:18
  • +Ayu 9:4
  • +Kut 34:6, 7
  • +Ayu 38:1

Nahumu 1:4

Marejeo

  • +Ayu 38:11; Zb 104:6, 7; 107:29
  • +Yos 3:16
  • +Isa 33:9; Amo 1:2

Nahumu 1:5

Marejeo

  • +2Sa 22:8; Zb 68:7, 8
  • +Zb 97:4, 5; Isa 24:1

Nahumu 1:6

Marejeo

  • +Yer 10:10
  • +Kum 32:22

Nahumu 1:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Anawatunza.” Tnn., “Anawajua.”

Marejeo

  • +Zb 136:1; Mt 19:17
  • +Zb 46:1; 91:2; Met 18:10; Isa 25:4
  • +Zb 1:6

Nahumu 1:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, Ninawi.

Nahumu 1:9

Marejeo

  • +Isa 10:24, 25

Nahumu 1:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “pombe ya ngano.”

Nahumu 1:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “naye atapita katikati yake.”

  • *

    Yaani, watu wa Yuda.

Nahumu 1:13

Marejeo

  • +Isa 14:25

Nahumu 1:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, Ashuru.

  • *

    Au “sanamu za kuyeyushwa.”

  • *

    Au “hekalu la.”

Nahumu 1:15

Marejeo

  • +Isa 52:7; Ro 10:15
  • +Kum 16:16

Jumla

Nah. 1:1Isa 10:12; Nah 3:7; Sef 2:13
Nah. 1:2Kut 20:5
Nah. 1:2Kum 32:35, 41; Isa 59:18
Nah. 1:3Hes 14:18
Nah. 1:3Ayu 9:4
Nah. 1:3Kut 34:6, 7
Nah. 1:3Ayu 38:1
Nah. 1:4Ayu 38:11; Zb 104:6, 7; 107:29
Nah. 1:4Yos 3:16
Nah. 1:4Isa 33:9; Amo 1:2
Nah. 1:52Sa 22:8; Zb 68:7, 8
Nah. 1:5Zb 97:4, 5; Isa 24:1
Nah. 1:6Yer 10:10
Nah. 1:6Kum 32:22
Nah. 1:7Zb 136:1; Mt 19:17
Nah. 1:7Zb 46:1; 91:2; Met 18:10; Isa 25:4
Nah. 1:7Zb 1:6
Nah. 1:9Isa 10:24, 25
Nah. 1:13Isa 14:25
Nah. 1:15Isa 52:7; Ro 10:15
Nah. 1:15Kum 16:16
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Nahumu 1:1-15

Nahumu

1 Tangazo dhidi ya Ninawi:+ Kitabu cha maono ya Nahumu* Mwelkoshi:

 2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wamwabudu yeye peke yake+ naye hulipiza kisasi;

Yehova hulipiza kisasi naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu yake.+

Yehova hulipiza kisasi dhidi ya maadui wake,

Naye hukusanya ghadhabu kwa ajili ya maadui wake.

 3 Yehova si mwepesi wa hasira,+ naye ana nguvu nyingi,+

Lakini Yehova hatasita kamwe kutoa adhabu inayostahiliwa.+

Kijia chake kimo katika upepo unaosababisha uharibifu na katika dhoruba,

Na mawingu ni mavumbi ya miguu yake.+

 4 Hukemea bahari,+ naye huikausha;

Naye huifanya mito yote ikauke.+

Bashani na Karmeli hunyauka,+

Na maua ya Lebanoni hunyauka.

 5 Milima hutetemeka kwa sababu yake,

Na vilima huyeyuka.+

Dunia itasukasuka kwa sababu ya uso wake,

Pamoja na nchi na wote wanaoishi humo.+

 6 Ni nani anayeweza kusimama mbele ya hasira yake kali?+

Na ni nani anayeweza kustahimili joto la hasira yake?+

Ghadhabu yake itamwagwa kama moto,

Na miamba itavunjika-vunjika kwa sababu yake.

 7 Yehova ni mwema,+ ni ngome katika siku ya taabu.+

Anawakazia fikira* wale wanaotafuta kimbilio kwake.+

 8 Kwa mafuriko makubwa atapaangamiza kabisa mahali pake,*

Na giza litawafuatia maadui wake.

 9 Mtapanga njama gani dhidi ya Yehova?

Anasababisha maangamizi kamili.

Taabu haitatokea tena mara ya pili.+

10 Kwa maana wamesokotana kama miiba,

Nao ni kama watu waliolewa pombe;*

Lakini watateketezwa kabisa kama nyasi kavu.

11 Kutoka kwako atatoka yule anayepanga njama ya uovu dhidi ya Yehova,

Akitoa ushauri usiofaa.

12 Yehova anasema hivi:

“Ingawa walikuwa na nguvu nyingi na walikuwa wengi,

Hata hivyo, wataangamizwa na kutoweka.*

Nimekutesa wewe,* lakini sitakutesa tena.

13 Na sasa nitavunja nira yake na kuiondoa juu yako,+

Nami nitazikata pingu zako vipande viwili.

14 Yehova ameamuru hivi kukuhusu,*

‘Jina lako halitaendelezwa tena.

Nitaziharibu sanamu zako za kuchongwa na sanamu za chuma* kutoka katika nyumba ya* miungu yako.

Nitakuchimbia kaburi, kwa sababu unachukiza.’

15 “Tazama! Miguu ya yule anayeleta habari njema iko milimani,

Yule anayetangaza amani.+

Fanya sherehe zako,+ Ee Yuda, timiza nadhiri zako,

Kwa maana mtu asiyefaa hatapita tena kati yako.

Ataangamizwa kabisa.”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki