Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 6
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wakorintho—Yaliyomo

      • Fadhili za Mungu hazipaswi kutumiwa vibaya (1, 2)

      • Huduma ya Paulo yafafanuliwa (3-13)

      • Msifungwe nira isivyo sawa (14-18)

2 Wakorintho 6:1

Marejeo

  • +2Ko 5:20
  • +Ro 2:4

2 Wakorintho 6:2

Marejeo

  • +Isa 49:8

2 Wakorintho 6:3

Marejeo

  • +1Ko 9:22

2 Wakorintho 6:4

Marejeo

  • +2Ko 4:1, 2
  • +2Ko 11:23

2 Wakorintho 6:5

Marejeo

  • +Ufu 2:10
  • +2Ko 11:25, 27

2 Wakorintho 6:6

Marejeo

  • +Kol 3:13; 1Th 5:14
  • +Efe 4:32
  • +Ro 12:9

2 Wakorintho 6:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Labda kwa ajili ya kushambulia.

  • *

    Labda kwa ajili ya kujilinda.

Marejeo

  • +1Ko 2:4, 5
  • +2Ko 10:4; Efe 6:11

2 Wakorintho 6:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tunaonwa kama wanaostahili kifo.”

  • *

    Au “waliotiwa nidhamu.”

Marejeo

  • +2Ko 4:10, 11
  • +Mdo 14:19; 2Ko 4:8, 9

2 Wakorintho 6:10

Marejeo

  • +Flp 4:13; Ufu 2:9

2 Wakorintho 6:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Tumezungumza waziwazi.”

2 Wakorintho 6:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Hatujakosa nafasi ya.”

Marejeo

  • +2Ko 12:15

2 Wakorintho 6:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ninyi pia panukeni.”

Marejeo

  • +1Pe 2:17; 1Yo 4:20

2 Wakorintho 6:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Msiunganishwe.”

Marejeo

  • +Kut 23:32, 33; Kum 7:3, 4; 1Fa 11:4; 1Ko 7:39
  • +Yak 4:4
  • +Efe 5:7, 8

2 Wakorintho 6:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Kutokana na neno la Kiebrania linalomaanisha “Asiyefaa Kitu.” Linamrejelea Shetani.

  • *

    Au “mtu mwaminifu.”

  • *

    Au “mwamini ana fungu gani.”

Marejeo

  • +Mt 4:10; Ufu 12:7, 8
  • +1Ko 10:21

2 Wakorintho 6:16

Marejeo

  • +1Ko 10:14
  • +1Ko 3:16
  • +Kut 29:45
  • +Law 26:11, 12; Eze 37:27

2 Wakorintho 6:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Isa 52:11; Yer 51:45; Ufu 18:4
  • +Eze 20:41; 2Ko 7:1

2 Wakorintho 6:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +2Sa 7:14
  • +Isa 43:6; Ho. 1:10; Yoh 1:12

Jumla

2 Kor. 6:12Ko 5:20
2 Kor. 6:1Ro 2:4
2 Kor. 6:2Isa 49:8
2 Kor. 6:31Ko 9:22
2 Kor. 6:42Ko 4:1, 2
2 Kor. 6:42Ko 11:23
2 Kor. 6:5Ufu 2:10
2 Kor. 6:52Ko 11:25, 27
2 Kor. 6:6Kol 3:13; 1Th 5:14
2 Kor. 6:6Efe 4:32
2 Kor. 6:6Ro 12:9
2 Kor. 6:71Ko 2:4, 5
2 Kor. 6:72Ko 10:4; Efe 6:11
2 Kor. 6:92Ko 4:10, 11
2 Kor. 6:9Mdo 14:19; 2Ko 4:8, 9
2 Kor. 6:10Flp 4:13; Ufu 2:9
2 Kor. 6:122Ko 12:15
2 Kor. 6:131Pe 2:17; 1Yo 4:20
2 Kor. 6:14Kut 23:32, 33; Kum 7:3, 4; 1Fa 11:4; 1Ko 7:39
2 Kor. 6:14Yak 4:4
2 Kor. 6:14Efe 5:7, 8
2 Kor. 6:15Mt 4:10; Ufu 12:7, 8
2 Kor. 6:151Ko 10:21
2 Kor. 6:161Ko 10:14
2 Kor. 6:161Ko 3:16
2 Kor. 6:16Kut 29:45
2 Kor. 6:16Law 26:11, 12; Eze 37:27
2 Kor. 6:17Isa 52:11; Yer 51:45; Ufu 18:4
2 Kor. 6:17Eze 20:41; 2Ko 7:1
2 Kor. 6:182Sa 7:14
2 Kor. 6:18Isa 43:6; Ho. 1:10; Yoh 1:12
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
2 Wakorintho 6:1-18

Barua ya Pili kwa Wakorintho

6 Huku tukifanya kazi pamoja naye,+ tunawahimiza pia msipokee fadhili zisizostahiliwa za Mungu na kukosa kusudi lake.+ 2 Kwa maana anasema: “Katika wakati unaokubalika nilikusikia, na katika siku ya wokovu nilikusaidia.”+ Tazama! Sasa ndio wakati unaokubalika hasa. Tazama! Sasa ndiyo siku ya wokovu.

3 Hatutoi sababu yoyote ya kukwaza, ili kosa lolote lisipatikane katika huduma yetu;+⁠ 4 bali katika kila njia tunajipendekeza kuwa wahudumu wa Mungu,+ kwa kuvumilia mengi, kwa dhiki, kwa nyakati za uhitaji, kwa shida,+ 5 kwa kupigwa, kwa kufungwa gerezani,+ kwa machafuko, kwa kazi ngumu, kwa kukosa usingizi usiku, kwa nyakati za kukosa chakula;+ 6 kwa utakaso, kwa ujuzi, kwa subira,+ kwa fadhili,+ kwa roho takatifu, kwa upendo usio na unafiki,+ 7 kwa kusema maneno ya kweli, kwa nguvu za Mungu;+ kupitia silaha za uadilifu+ katika mkono wa kulia* na wa kushoto,* 8 kupitia utukufu na aibu, kupitia habari mbaya na habari nzuri. Tunaonwa kuwa wadanganyifu na bado tunasema ukweli, 9 kama wasiojulikana na bado tunatambuliwa, kama wanaokufa* na bado, tazama! tunaishi,+ kama walioadhibiwa* na bado hatujakabidhiwa kwenye kifo,+ 10 kama walio na huzuni lakini wanaoshangilia sikuzote, kama maskini lakini wanaowatajirisha wengi, kama wasio na kitu chochote na bado walio na vitu vyote.+

11 Tumefungua kinywa chetu ili kuzungumza* nanyi, enyi Wakorintho, nasi tumefungua wazi moyo wetu. 12 Hatujajizuia* kuwaonyesha upendo,+ bali ninyi mmejizuia kutuonyesha upendo wenu mwororo. 13 Kwa hiyo, kwa kujibu—ninazungumza kama na watoto wangu—ninyi pia fungueni kabisa mioyo yenu.*+

14 Msifungwe nira* isivyo sawa pamoja na wasio waamini.+ Kwa maana kuna ushirika gani kati ya uadilifu na uasi sheria?+ Au nuru ina ushirika gani na giza?+ 15 Isitoshe, kuna upatano gani kati ya Kristo na Beliali?*+ Au mwamini* ana ushirika gani* na mtu asiye mwamini?+ 16 Na hekalu la Mungu lina makubaliano gani na sanamu?+ Kwa maana sisi ni hekalu la Mungu aliye hai;+ kama Mungu alivyosema: “Mimi nitakaa miongoni mwao+ na kutembea miongoni mwao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+ 17 “‘Kwa hiyo, tokeni miongoni mwao na mjitenge,’ asema Yehova,* ‘na mwache kugusa kitu kichafu’”;+ “‘nami nitawakaribisha ndani.’”+ 18 “‘Nami nitakuwa baba kwenu,+ nanyi mtakuwa wana na mabinti kwangu,’+ asema Yehova,* Mweza Yote.”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki