Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wathesalonike 1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wathesalonike—Yaliyomo

      • Salamu (1)

      • Shukrani kwa ajili ya imani ya Wathesalonike (2-10)

1 Wathesalonike 1:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Pia anaitwa Sila.

Marejeo

  • +Mdo 15:22; 1Pe 5:12
  • +Mdo 16:1, 2

1 Wathesalonike 1:2

Marejeo

  • +2Th 1:11, 12

1 Wathesalonike 1:3

Marejeo

  • +1Pe 1:3, 4

1 Wathesalonike 1:6

Marejeo

  • +1Ko 11:1; Flp 3:17; 2Th 3:9
  • +1Pe 2:21
  • +1Th 2:14

1 Wathesalonike 1:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +2Th 1:4

1 Wathesalonike 1:9

Marejeo

  • +1Ko 10:14; 12:2; Gal 4:8; 1Yo 5:21

1 Wathesalonike 1:10

Marejeo

  • +Mdo 1:10, 11; Tit 2:13
  • +1Th 5:2; 2Pe 3:12

Jumla

1 The. 1:1Mdo 15:22; 1Pe 5:12
1 The. 1:1Mdo 16:1, 2
1 The. 1:22Th 1:11, 12
1 The. 1:31Pe 1:3, 4
1 The. 1:61Ko 11:1; Flp 3:17; 2Th 3:9
1 The. 1:61Pe 2:21
1 The. 1:61Th 2:14
1 The. 1:82Th 1:4
1 The. 1:91Ko 10:14; 12:2; Gal 4:8; 1Yo 5:21
1 The. 1:101Th 5:2; 2Pe 3:12
1 The. 1:10Mdo 1:10, 11; Tit 2:13
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
1 Wathesalonike 1:1-10

Barua ya Kwanza kwa Wathesalonike

1 Paulo, Silvano,*+ na Timotheo,+ kwa kutaniko la Wathesalonike walio katika muungano na Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo:

Na muwe na fadhili zisizostahiliwa na amani.

2 Sikuzote tunamshukuru Mungu tunapowataja nyote katika sala zetu,+ 3 kwa maana tunaendelea kukumbuka kazi yenu ya uaminifu, kazi yenu ngumu ya upendo, na jinsi ambavyo mmevumilia kwa sababu ya tumaini lenu+ katika Bwana wetu Yesu Kristo mbele za Mungu, Baba yetu. 4 Akina ndugu, tunajua Mungu anawapenda na amewachagua, 5 kwa sababu hatukuwahubiria habari njema kwa maneno tu, bali pia kwa nguvu na kwa roho takatifu na kwa usadikisho thabiti, kama mnavyojua jinsi tulivyotenda miongoni mwenu kwa ajili yenu. 6 Nanyi mlituiga sisi+ na Bwana pia,+ kwa kuwa mlilikubali neno kwa shangwe ya roho takatifu ingawa mlikuwa na dhiki nyingi,+ 7 na hivyo mkawa mfano mzuri kwa waamini wote katika Makedonia na Akaya.

8 Kwa kweli, mmelitangaza neno la Yehova* katika Makedonia na Akaya, na pia kila mahali watu wamesikia kuhusu imani yenu katika Mungu,+ hivi kwamba hatuhitaji kusema lolote. 9 Watu hao wanaendelea kusema jinsi tulivyowahubiria ninyi mara ya kwanza na jinsi mlivyomgeukia Mungu na kuacha kuabudu sanamu+ ili kumtumikia Mungu wa kweli aliye hai, 10 na kumsubiri Mwana wake aje kutoka mbinguni,+ ambaye alifufuliwa kutoka kwa wafu, yaani, Yesu, anayetukomboa kutoka kwenye ghadhabu inayokuja.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki