Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 8
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Waebrania—Yaliyomo

      • Maskani iliwakilisha vitu vya mbinguni (1-6)

      • Tofauti kati ya agano la kale na agano jipya (7-13)

Waebrania 8:1

Marejeo

  • +Ebr 3:1; 7:26
  • +Zb 110:1; Ebr 1:3

Waebrania 8:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mtumishi wa watu wote.”

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Ebr 9:8, 24

Waebrania 8:3

Marejeo

  • +Efe 5:2

Waebrania 8:4

Marejeo

  • +Ebr 7:14

Waebrania 8:5

Marejeo

  • +Kol 2:16, 17; Ebr 10:1
  • +Ebr 9:9, 24
  • +Kut 25:9, 40; 26:30; Hes 8:4

Waebrania 8:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “utumishi wa watu wote ulio bora.”

Marejeo

  • +1Ti 2:5
  • +1Ko 11:25; Ebr 7:22; 9:15; 12:22, 24
  • +Zb 110:4; Ro 8:17

Waebrania 8:7

Marejeo

  • +Ebr 7:11, 18

Waebrania 8:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Waebrania 8:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Kut 12:51

Waebrania 8:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Ro 2:29
  • +2Ko 6:16

Waebrania 8:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Waebrania 8:12

Marejeo

  • +Yer 31:31-34

Waebrania 8:13

Marejeo

  • +Ro 10:4; Ebr 7:12
  • +Kol 2:13, 14

Jumla

Ebr. 8:1Ebr 3:1; 7:26
Ebr. 8:1Zb 110:1; Ebr 1:3
Ebr. 8:2Ebr 9:8, 24
Ebr. 8:3Efe 5:2
Ebr. 8:4Ebr 7:14
Ebr. 8:5Kol 2:16, 17; Ebr 10:1
Ebr. 8:5Ebr 9:9, 24
Ebr. 8:5Kut 25:9, 40; 26:30; Hes 8:4
Ebr. 8:61Ti 2:5
Ebr. 8:61Ko 11:25; Ebr 7:22; 9:15; 12:22, 24
Ebr. 8:6Zb 110:4; Ro 8:17
Ebr. 8:7Ebr 7:11, 18
Ebr. 8:9Kut 12:51
Ebr. 8:10Ro 2:29
Ebr. 8:102Ko 6:16
Ebr. 8:12Yer 31:31-34
Ebr. 8:13Ro 10:4; Ebr 7:12
Ebr. 8:13Kol 2:13, 14
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Waebrania 8:1-13

Kwa Waebrania

8 Sasa jambo kuu tunalosema ni hili: Sisi tuna kuhani mkuu wa namna hii,+ naye ameketi kwenye mkono wa kuume wa kiti cha ufalme cha Ukuu mbinguni,+ 2 mhudumu* wa mahali patakatifu+ na wa hema la kweli, ambalo limesimamishwa na Yehova,* na si mwanadamu. 3 Kwa maana kila kuhani mkuu huwekwa rasmi ili kutoa zawadi na dhabihu; basi ilikuwa lazima huyu pia awe na kitu cha kutoa.+ 4 Ikiwa angekuwa duniani, hangekuwa kuhani,+ kwa sababu tayari kuna watu wanaotoa zawadi kulingana na Sheria. 5 Watu hao hufanya utumishi mtakatifu kwa mfano wa uhalisi na kivuli+ cha vitu vya mbinguni;+ kama vile Musa, alipokuwa karibu kujenga hema, alipewa amri na Mungu: Kwa kuwa Mungu anasema: “Hakikisha kwamba unatengeneza vitu vyote kwa kufuata kielelezo ulichoonyeshwa mlimani.”+ 6 Lakini sasa Yesu amepata huduma iliyo bora* zaidi kwa sababu yeye pia ni mpatanishi+ wa agano lililo bora+ kwa kulinganishwa, ambalo limefanywa imara kisheria juu ya ahadi zilizo bora.+

7 Ikiwa agano la kwanza halingekuwa na kosa, hakungekuwa na haja ya agano la pili.+ 8 Kwa maana anaona hatia ya watu anaposema: “‘Tazama! Siku zinakuja,’ asema Yehova,* ‘nitakapofanya agano jipya pamoja na nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda. 9 Halitakuwa kama agano nililofanya pamoja na mababu zao siku niliyowashika mkono na kuwaongoza kutoka nchini Misri,+ kwa sababu hawakuendelea kulishika agano langu, basi nikaacha kuwajali,’ asema Yehova.*

10 “‘Kwa maana hili ndilo agano nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,’ asema Yehova.* ‘Nitazitia sheria zangu katika akili yao, nami nitaziandika katika mioyo yao.+ Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.+

11 “‘Nao hawatafundishana tena kila mtu na raia mwenzake na kila mtu na ndugu yake, wakisema: “Mjue Yehova!”* Kwa maana wote watanijua, kuanzia mdogo zaidi mpaka aliye mkubwa zaidi miongoni mwao. 12 Kwa maana nitaonyesha rehema kwa matendo yao yasiyo ya uadilifu, nami sitazikumbuka tena dhambi zao.’”+

13 Anaposema “agano jipya,” amelifanya lile la zamani lichakae.+ Basi kile kilichochakaa na kuzeeka kiko karibu kutoweka.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki