Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Yohana 1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Yohana—Yaliyomo

      • Neno la uzima (1-4)

      • Kutembea katika nuru (5-7)

      • Uhitaji wa kuungama dhambi (8-10)

1 Yohana 1:1

Marejeo

  • +Yoh 1:4; 6:68

1 Yohana 1:2

Marejeo

  • +Yoh 21:24; Mdo 2:32
  • +Yoh 17:3

1 Yohana 1:3

Marejeo

  • +Yoh 15:26, 27; Mdo 4:20
  • +Yoh 17:20, 21

1 Yohana 1:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “katika muungano naye.”

Marejeo

  • +Yak 1:17

1 Yohana 1:6

Marejeo

  • +2Ko 6:14; Efe 5:8; Tit 1:16; 1Yo 2:4

1 Yohana 1:7

Marejeo

  • +Ro 3:25; Efe 1:7; Ebr 9:14; 10:22; Ufu 1:5

1 Yohana 1:8

Marejeo

  • +1Fa 8:46; Mhu 7:20

1 Yohana 1:9

Marejeo

  • +Zb 32:5; Met 28:13; Yak 5:16

Jumla

1 Yoh. 1:1Yoh 1:4; 6:68
1 Yoh. 1:2Yoh 21:24; Mdo 2:32
1 Yoh. 1:2Yoh 17:3
1 Yoh. 1:3Yoh 15:26, 27; Mdo 4:20
1 Yoh. 1:3Yoh 17:20, 21
1 Yoh. 1:5Yak 1:17
1 Yoh. 1:62Ko 6:14; Efe 5:8; Tit 1:16; 1Yo 2:4
1 Yoh. 1:7Ro 3:25; Efe 1:7; Ebr 9:14; 10:22; Ufu 1:5
1 Yoh. 1:81Fa 8:46; Mhu 7:20
1 Yoh. 1:9Zb 32:5; Met 28:13; Yak 5:16
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
1 Yohana 1:1-10

Barua ya Kwanza ya Yohana

1 Kile kilichokuwapo tangu mwanzo, tulichokisikia na kukiona kwa macho yetu, ambacho tumekitazama na mikono yetu ikakigusa, kuhusiana na neno la uzima,+ 2 (ndiyo, uzima ulifunuliwa, nasi tumeona na tunatoa ushahidi+ na kuwajulisha kuhusu uzima wa milele+ ambao Baba alikuwa nao, na uliofunuliwa kwetu), 3 kile ambacho tumeona na kusikia tunawajulisha pia,+ ili ninyi vilevile muwe na ushirika pamoja nasi. Na huu ushirika wetu ni pamoja na Baba na pamoja na Mwana wake Yesu Kristo.+ 4 Nasi tunaandika mambo haya ili shangwe yetu iwe kamili.

5 Huu ndio ujumbe tuliosikia kutoka kwake nasi tunawatangazia ninyi: Mungu ni nuru,+ na hakuna giza kamwe ndani yake.* 6 Ikiwa tunasema, “Tuna ushirika pamoja naye,” na bado tunaendelea kutembea katika giza, tunasema uwongo nasi hatuishi kulingana na kweli.+ 7 Hata hivyo, ikiwa tunatembea katika nuru kama yeye mwenyewe alivyo katika nuru, tuna ushirika sisi kwa sisi, na damu ya Yesu Mwana wake hutusafisha kutoka katika dhambi yote.+

8 Ikiwa tunasema, “Hatuna dhambi,” tunajipotosha wenyewe+ na kweli haimo ndani yetu. 9 Tukiungama dhambi zetu, yeye ni mwaminifu na mwadilifu naye atatusamehe dhambi zetu na kutusafisha ukosefu wote wa uadilifu.+ 10 Ikiwa tunasema, “Hatujatenda dhambi,” tunamfanya yeye kuwa mwongo, na neno lake halimo ndani yetu.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki