WIMBO NA. 3
Tumaini, Nguvu, na Uhakika Wetu
- 1. Yehova umetupatia - tumaini bora. - Latusisimua sana, - tutalitangaza. - Mahangaiko ya maisha, - hutufanya tuhofu. - Nalo tumaini letu - Linadhoofika. - (KORASI) - Tumaini, nguvu, - na uhakika; - zatoka kwako Yehova. - Ili tuhubiri - kwa uhakika, - twakutegemea wewe. 
- 2. Ichochee mioyo yetu, - tusikusahau. - Watufariji daima, - tunapolemewa. - Kutafakari wema wako, - kunatuimarisha. - Tuwajulishe wengine - jina lako kuu. - (KORASI) - Tumaini, nguvu, - na uhakika; - zatoka kwako Yehova. - Ili tuhubiri - kwa uhakika, - twakutegemea wewe. 
(Ona pia Zab. 72:13, 14; Met. 3:5, 6, 26; Yer. 17:7.)