Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj 54
  • “Hii Ndiyo Njia”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Hii Ndiyo Njia”
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Wachungaji​—⁠Zawadi Katika Wanadamu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Unahisije?
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Uzima wa Milele​—⁠Hatimaye!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj 54

WIMBO NA. 54

“Hii Ndiyo Njia”

(Isaya 30:​20, 21)

  1. 1. Njia ya amani,

    Uliyoipata.

    Uliyofundishwa,

    Njia ya zamani.

    Njia ambayo Yesu

    Alifundisha.

    Njia ya amani

    Njia ya Yehova.

    (KORASI)

    Njia hii; njia ya uzima

    Usisite wala kupotoka!

    Mungu wetu atuagiza:

    ‘Pita hapa; kaza macho mbele.’

  2. 2. Njia ya upendo,

    Tunaifuata.

    Sauti ya Mungu,

    Inatuongoza.

    Upendo na wema;

    Anatuonyesha.

    Njia ya upendo;

    Inatuchochea.

    (KORASI)

    Njia hii; njia ya uzima

    Usisite wala kupotoka!

    Mungu wetu atuagiza:

    ‘Pita hapa; kaza macho mbele.’

  3. 3. Njia ya Uzima,

    Usikengeuke.

    Tumeipata

    Njia bora zaidi,

    Njia ya amani,

    Njia ya upendo,

    Njia ya uzima.

    Asante Yehova.

    (KORASI)

    Njia hii; njia ya uzima

    Usisite wala kupotoka!

    Mungu wetu atuagiza:

    ‘Pita hapa; kaza macho mbele.’

(Ona pia Zab. 32:8; 139:24; Met. 6:23.)

    Tanzanian sign language publications (2020-2026)
    Toka
    Ingia
    • Lugha ya Alama ya Tanzania
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki