WIMBO NA. 118
“Tusaidie Tuwe na Imani Zaidi”
- 1. Kwa sababu hatujakamilika, - Mwelekeo wetu ni mbaya. - Kuna dhambi itutatanishayo— - Kutokuwa na imani kwako. - (KORASI) - Ee, Yehova, tupatie imani. - Twakuomba, utusaidie, - Kwa rehema unazotuonyesha. - Nawe uheshimiwe zaidi. 
- 2. Ili kukupendeza wewe vema, - Ni lazima tuwe na imani. - Kama ngao, imani hutulinda. - Hatuhofu tunayokabili. - (KORASI) - Ee, Yehova, tupatie imani. - Twakuomba, utusaidie, - Kwa rehema unazotuonyesha. - Nawe uheshimiwe zaidi. 
(Ona pia Mwa. 8:21; Ebr. 11:6; 12:1.)