Mwanzo 30:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ikawa kwamba Raheli alipokuwa amemzaa Yosefu, bila kukawia Yakobo akamwambia Labani: “Niruhusu niende kwangu na katika nchi yangu.+ Mwanzo 35:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kisha wakasafiri kutoka Betheli. Nao walipokuwa mbali kiasi kabla ya kufika Efrathi,+ Raheli akaanza kuzaa, na mambo yalikuwa yakimwendea vibaya alipokuwa akizaa.+
25 Ikawa kwamba Raheli alipokuwa amemzaa Yosefu, bila kukawia Yakobo akamwambia Labani: “Niruhusu niende kwangu na katika nchi yangu.+
16 Kisha wakasafiri kutoka Betheli. Nao walipokuwa mbali kiasi kabla ya kufika Efrathi,+ Raheli akaanza kuzaa, na mambo yalikuwa yakimwendea vibaya alipokuwa akizaa.+