Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 31:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Baba yenu amenichezea, naye amebadili mshahara wangu mara kumi, lakini Mungu hakumruhusu anidhuru.+

  • Kumbukumbu la Torati 24:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Katika siku yake utampa malipo yake,+ nalo jua lisitue juu yake, kwa sababu yeye yuko katika taabu naye anaiinua nafsi yake kwa malipo yake; ili asimlilie Yehova juu yako,+ na iwe dhambi kwako.+

  • 1 Wafalme 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na sasa amuru kwamba wanikatie mierezi kutoka Lebanoni;+ na watumishi wangu watakuwa pamoja na watumishi wako, nami nitakupa mishahara ya watumishi wako kulingana na yote utakayosema, kwa maana wewe mwenyewe unajua vema kwamba sisi hatuna yeyote anayejua kukata miti kama Wasidoni.”+

  • Ayubu 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kama mtumwa, yeye hupumua kwa kutamani kivuli,+

      Naye hungojea mshahara wake kama mfanyakazi wa kukodiwa.+

  • Yeremia 22:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Ole wake anayejenga nyumba yake,+ lakini si kwa uadilifu, na vyumba vyake vya juu, lakini si kwa haki, kwa kutumia mwanadamu mwenzake anayetumikia bure, na ambaye hampi malipo yake;+

  • 1 Timotheo 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana andiko linasema: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe-dume anapopura nafaka”;+ pia: “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki