Mwanzo 38:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Alipokuwa akitolewa nje, akapeleka ujumbe kwa baba-mkwe wake, akisema: “Nina mimba ya mwanamume mwenye vitu hivi.”+ Naye akaongezea: “Tafadhali, vichunguze+ ni vya nani, pete ya muhuri na kamba na fimbo.”+ Hesabu 35:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 ndipo kusanyiko litahukumu kati ya yule mpigaji na yule mlipiza-kisasi cha damu kulingana na hukumu hizi.+
25 Alipokuwa akitolewa nje, akapeleka ujumbe kwa baba-mkwe wake, akisema: “Nina mimba ya mwanamume mwenye vitu hivi.”+ Naye akaongezea: “Tafadhali, vichunguze+ ni vya nani, pete ya muhuri na kamba na fimbo.”+
24 ndipo kusanyiko litahukumu kati ya yule mpigaji na yule mlipiza-kisasi cha damu kulingana na hukumu hizi.+