32 Yeyote yule ambaye huenda ukampata akiwa na miungu yako, asiishi.+ Mbele ya ndugu zetu, chunguza mwenyewe kile kilicho pamoja nami na uichukue.”+ Lakini Yakobo hakujua kwamba Raheli alikuwa ameiiba.+
32 Kisha wakalipeleka lile vazi refu lenye mistari kwa baba yao na kusema: “Hiki ndicho tulichopata. Tafadhali, chunguza+ kama ni lile vazi refu la mwana wako au hapana.”+
15 “‘Msifanye ukosefu wa haki katika hukumu. Usiwatendee watu wa hali ya chini kwa njia ya ubaguzi,+ wala usimpendelee mtu mkuu.+ Utamhukumu mwenzako kwa haki.