28 Wanaume, wanabiashara Wamidiani,+ wakapitia hapo. Basi wakamvuta na kumpandisha Yosefu kutoka katika lile shimo la maji+ kisha wakamuuza kwa wale Waishmaeli kwa vipande 20 vya fedha.+ Mwishowe wanabiashara hao wakampeleka Yosefu Misri.
17 ‘Mtamwambia Yosefu hivi: “Tafadhali, nakuomba, usamehe+ maasi ya ndugu zako na dhambi yao kwa kuwa wamekutendea uovu.”’+ Na tafadhali sasa, usamehe maasi ya watumishi wa Mungu wa baba yako.”+ Naye Yosefu akalia waliposema naye.