Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 37:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ndugu zake wakamwona akiwa mbali, na kabla hajakaribia wakaanza kumpangia kwa ujanja hila ya kumuua.+

  • Mwanzo 37:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Wanaume, wanabiashara Wamidiani,+ wakapitia hapo. Basi wakamvuta na kumpandisha Yosefu kutoka katika lile shimo la maji+ kisha wakamuuza kwa wale Waishmaeli kwa vipande 20 vya fedha.+ Mwishowe wanabiashara hao wakampeleka Yosefu Misri.

  • Mwanzo 50:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 ‘Mtamwambia Yosefu hivi: “Tafadhali, nakuomba, usamehe+ maasi ya ndugu zako na dhambi yao kwa kuwa wamekutendea uovu.”’+ Na tafadhali sasa, usamehe maasi ya watumishi wa Mungu wa baba yako.”+ Naye Yosefu akalia waliposema naye.

  • Matendo 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na wale vichwa vya familia wakamwonea Yosefu wivu+ na kumuuza Misri.+ Lakini Mungu alikuwa pamoja naye,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki