22 ili kwa njia ya hayo Israeli wajaribiwe,+ kuona kama wataishika njia ya Yehova kwa kutembea katika hiyo kama vile mababu zao walivyoishika, au hapana.”
8 Ee mtu wa udongo, yeye amekuambia yaliyo mema.+ Na Yehova anataka nini kutoka kwako ila kutenda haki+ na kupenda fadhili+ na kuwa na kiasi+ katika kutembea na Mungu wako?+
10 ili mtembee kwa kumstahili+ Yehova+ kwa kusudi la kumpendeza yeye kikamili mnapoendelea kuzaa matunda katika kila kazi njema+ na kuongezeka katika ujuzi sahihi+ wa Mungu,