Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Nawe ushike amri za Yehova Mungu wako kwa kutembea katika njia zake+ na kwa kumwogopa.+

  • Waamuzi 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 ili kwa njia ya hayo Israeli wajaribiwe,+ kuona kama wataishika njia ya Yehova kwa kutembea katika hiyo kama vile mababu zao walivyoishika, au hapana.”

  • Zaburi 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Yeye anayetembea bila kosa+ na kuzoea kutenda uadilifu+

      Na kusema kweli katika moyo wake.+

  • Methali 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Naye atawawekea wanyoofu hazina ya hekima inayotumika;+ yeye ni ngao kwa wale wanaotembea kwa utimilifu,+

  • Mika 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ee mtu wa udongo, yeye amekuambia yaliyo mema.+ Na Yehova anataka nini kutoka kwako ila kutenda haki+ na kupenda fadhili+ na kuwa na kiasi+ katika kutembea na Mungu wako?+

  • Wakolosai 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 ili mtembee kwa kumstahili+ Yehova+ kwa kusudi la kumpendeza yeye kikamili mnapoendelea kuzaa matunda katika kila kazi njema+ na kuongezeka katika ujuzi sahihi+ wa Mungu,

  • 1 Wathesalonike 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 ili kwamba mwendelee kutembea+ kwa kumstahili Mungu anayewaita+ ninyi kwenye ufalme+ na utukufu wake.

  • 3 Yohana 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sina sababu nyingine kubwa zaidi ya kuwa na shukrani kuliko mambo haya, kwamba niwe nikisikia watoto wangu wanaendelea kutembea katika kweli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki