Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndipo Yehova akamtokea Abramu na kusema: “Nitaupa uzao wako+ nchi hii.”+ Baada ya hayo akajenga madhabahu huko kwa ajili ya Yehova, aliyekuwa amemtokea.

  • Mwanzo 15:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye akawa na imani katika Yehova;+ naye akamhesabia kuwa ni uadilifu.+

  • Mwanzo 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na jina lako halitakuwa Abramu tena, jina lako litakuwa Abrahamu, kwa sababu nitakufanya kuwa baba ya umati wa mataifa.

  • Mwanzo 18:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa maana nimefahamiana naye kusudi awaamuru wanawe na nyumba yake baada yake, ndipo washike njia ya Yehova ili kutenda uadilifu na haki;+ ili Yehova apate kumtimizia Abrahamu lile alilosema juu yake.”+

  • Yohana 8:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Wakajibu, wakamwambia: “Baba yetu ni Abrahamu.”+ Yesu akawaambia: “Ikiwa ninyi ni watoto wa Abrahamu,+ fanyeni kazi za Abrahamu.

  • Waroma 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye alipokea ishara,+ yaani, kutahiriwa, kuwa muhuri wa uadilifu kwa imani aliyokuwa nayo alipokuwa katika hali yake ya kutotahiriwa, ili yeye awe baba+ ya wale wote walio na imani+ wakiwa katika kutotahiriwa, kusudi wahesabiwe uadilifu;

  • Wagalatia 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Sasa ahadi zilitolewa kwa Abrahamu+ na kwa uzao wake.+ Haisemi: “Na kwa wazao,” kana kwamba ni wengi wa namna hiyo, bali kana kwamba ni mmoja:+ “Na kwa uzao wako,”+ ambaye ni Kristo.+

  • Waebrania 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa imani Abrahamu, alipojaribiwa,+ ni kana kwamba alimtoa Isaka, na huyo mtu aliyekuwa amezipokea ahadi kwa furaha alijaribu kumtoa mwana wake mzaliwa-pekee,+

  • Yakobo 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 na andiko likatimizwa linalosema: “Abrahamu alikuwa na imani katika Yehova, na ikahesabiwa kwake kuwa ni uadilifu,”+ naye akaitwa “rafiki ya Yehova.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki