Mwanzo 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Alipoinua macho yake,+ kisha akatazama, kumbe pale, wamesimama wanaume watatu umbali fulani kutoka kwake. Alipowaona akaanza kukimbia awapokee kutoka mwingilio wa hema naye akainama kifudifudi.+ 1 Samweli 24:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi Daudi akainuka baadaye, akatoka nje ya lile pango na kumwita Sauli, akisema: “Bwana wangu+ mfalme!” Ndipo Sauli akatazama nyuma, naye Daudi akainama kifudifudi,+ akasujudu.
2 Alipoinua macho yake,+ kisha akatazama, kumbe pale, wamesimama wanaume watatu umbali fulani kutoka kwake. Alipowaona akaanza kukimbia awapokee kutoka mwingilio wa hema naye akainama kifudifudi.+
8 Basi Daudi akainuka baadaye, akatoka nje ya lile pango na kumwita Sauli, akisema: “Bwana wangu+ mfalme!” Ndipo Sauli akatazama nyuma, naye Daudi akainama kifudifudi,+ akasujudu.