Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zekaria 14:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Na itatukia kwamba, kila mtu atakayebaki wa mataifa yote yanayokuja juu ya Yerusalemu,+ watapanda pia mwaka baada ya mwaka+ ili kumwinamia Mfalme,+ Yehova wa majeshi,+ na kufanya sherehe ya vibanda.+

  • Mathayo 13:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 na yule adui aliyepanda ni Ibilisi.+ Yale mavuno+ ni umalizio wa mfumo wa mambo,+ na wavunaji ni malaika.

  • Mathayo 24:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Naye atawatuma malaika zake pamoja na mvumo mkubwa wa tarumbeta,+ nao watawakusanya pamoja watu wake waliochaguliwa+ kutoka kwenye zile pepo nne,+ kutoka mwisho mmoja wa mbingu mpaka mwisho wake mwingine.

  • Mathayo 25:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Wakati Mwana wa binadamu+ atakapofika katika utukufu wake, na malaika wote pamoja naye,+ ndipo atakapoketi juu ya kiti chake cha ufalme chenye utukufu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki