28 Na chombo cha udongo+ ambamo huenda likatokosewa ndani yake kitavunjwa. Lakini ikiwa lilitokoswa katika chombo cha shaba, basi kitaparuzwa na kuoshwa kwa maji.
33 Nacho chombo chochote cha udongo+ ambacho yeyote kati yao ataanguka ndani yake, chochote kilicho ndani yake kitakuwa kisicho safi, nanyi mtakivunja.+