26 Basi Yuda akavichunguza na kusema:+ “Yeye ni mwadilifu kuliko mimi,+ kwa sababu sikumpa Shela mwanangu awe mke wake.”+ Naye hakulala naye tena baada ya hayo.+
21 Wana wa Shela+ mwana wa Yuda walikuwa Eri baba ya Leka na Laada baba ya Maresha na familia za nyumba ya wafumaji wa vitambaa laini+ wa nyumba ya Ashbea;