Kutoka 20:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Usiibe.+ Mambo ya Walawi 19:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘Msiibe,+ wala msidanganye,+ wala msitendeane kwa uwongo mtu yeyote na mwenzake.+ Methali 30:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 nisije nikashiba nikakukana,+ nikasema: “Yehova ni nani?”+ wala nisiwe maskini, nikaiba na kulishambulia jina la Mungu wangu.+ 1 Wakorintho 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wala wezi, wala watu wenye pupa,+ wala walevi,+ wala watukanaji, wala wanyang’anyi hawataurithi ufalme wa Mungu.+ Waefeso 4:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mwizi asiibe tena,+ bali afanye kazi ya bidii, akifanya kwa mikono yake kazi iliyo njema,+ ili awe na kitu cha kumgawia mtu aliye na uhitaji.+
9 nisije nikashiba nikakukana,+ nikasema: “Yehova ni nani?”+ wala nisiwe maskini, nikaiba na kulishambulia jina la Mungu wangu.+
10 wala wezi, wala watu wenye pupa,+ wala walevi,+ wala watukanaji, wala wanyang’anyi hawataurithi ufalme wa Mungu.+
28 Mwizi asiibe tena,+ bali afanye kazi ya bidii, akifanya kwa mikono yake kazi iliyo njema,+ ili awe na kitu cha kumgawia mtu aliye na uhitaji.+