Kutoka 32:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi Musa akarudi kwa Yehova, akasema: “Ah, watu hawa wametenda dhambi kubwa, kwa kuwa wamejifanyia mungu wa dhahabu!+ Zaburi 78:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nao wasiwe kama mababu zao,+Kizazi chenye ukaidi na chenye kuasi,+Kizazi ambacho hakikuwa kimetayarisha moyo wake+Na ambacho roho yake haikuwa yenye kutegemeka kwa Mungu.+ Mika 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+
31 Basi Musa akarudi kwa Yehova, akasema: “Ah, watu hawa wametenda dhambi kubwa, kwa kuwa wamejifanyia mungu wa dhahabu!+
8 Nao wasiwe kama mababu zao,+Kizazi chenye ukaidi na chenye kuasi,+Kizazi ambacho hakikuwa kimetayarisha moyo wake+Na ambacho roho yake haikuwa yenye kutegemeka kwa Mungu.+
18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+