Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 15:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Ninajuta+ kwamba nimemfanya Sauli kuwa mfalme, kwa sababu amegeuka+ asinifuate mimi, naye hakutenda maneno yangu.”+ Nalo jambo hilo likawa lenye kumtaabisha Samweli,+ akaendelea kumlilia Yehova usiku kucha.+

  • 1 Samweli 15:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Naye Samweli akasema: “Je, Yehova hupendezwa sana na matoleo ya kuteketezwa+ na dhabihu kuliko kuitii sauti ya Yehova? Tazama! Kutii+ ni bora kuliko dhabihu,+ na kusikiliza kuliko mafuta+ ya kondoo-dume;

  • 1 Samweli 15:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 kwa maana uasi+ ni sawa na dhambi ya uaguzi,+ na kwenda kwa kimbelembele ni sawa na kutumia nguvu za uchawi na terafimu.+ Kwa kuwa umelikataa neno la Yehova,+ basi yeye pia amekukataa wewe usiwe mfalme.”+

  • Zaburi 37:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kaa kimya mbele za Yehova+

      Na kumngojea kwa kutamani.+

      Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya mtu yeyote anayeifanikisha njia yake,+

      Kwa sababu ya mtu anayetimiza mawazo yake.+

  • Methali 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Je, kimbelembele kimekuja? Basi aibu itakuja;+ lakini wenye kiasi wana hekima.+

  • Methali 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa sababu ya kimbelembele mtu husababisha tu pambano,+ lakini wale wanaoshauriana pamoja wana hekima.+

  • Methali 21:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Mtu mwenye kujigamba aliye na kimbelembele na mwenye kujidai, ndilo jina la mtu mwenye ghadhabu ya kimbelembele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki