Zaburi 44:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini sasa umetutupilia mbali na unaendelea kutufedhehesha,+Wala huendi pamoja na majeshi yetu.+ Zaburi 108:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Je, si wewe, Ee Mungu ambaye umetutupilia mbali+Na ambaye huendi pamoja na majeshi yetu ukiwa Mungu?+ Isaya 8:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nami nitaendelea kumtarajia Yehova,+ ambaye anauficha uso wake kutoka kwa nyumba ya Yakobo,+ nami nitamtumaini yeye.+ Isaya 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na katika siku hiyo+ hakika wewe utasema: “Nitakushukuru, Ee Yehova, kwa maana ingawa ulinikasirikia, hasira yako ilirudi nyuma mwishowe,+ nawe ukanifariji.+
11 Je, si wewe, Ee Mungu ambaye umetutupilia mbali+Na ambaye huendi pamoja na majeshi yetu ukiwa Mungu?+
17 Nami nitaendelea kumtarajia Yehova,+ ambaye anauficha uso wake kutoka kwa nyumba ya Yakobo,+ nami nitamtumaini yeye.+
12 Na katika siku hiyo+ hakika wewe utasema: “Nitakushukuru, Ee Yehova, kwa maana ingawa ulinikasirikia, hasira yako ilirudi nyuma mwishowe,+ nawe ukanifariji.+