1 Mambo ya Nyakati 16:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mhesabieni Yehova, enyi familia za vikundi vya watu,Mhesabieni Yehova utukufu na nguvu.+ Zaburi 29:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mhesabieni Yehova, enyi wana wa wenye nguvu,Mhesabieni Yehova utukufu na nguvu.+ Zaburi 96:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Utukufu na fahari ziko mbele zake;+Nguvu na uzuri zipo katika patakatifu pake.+