Zaburi 109:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye aliendelea kuipenda laana,+ hivi kwamba ikamjia;+Wala hakupendezwa na baraka,+ Hivi kwamba ikawa mbali naye;+ Isaya 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nami hakika nitaleta ubaya wake juu ya nchi yenye kuzaa,+ na kosa lao wenyewe juu ya waovu. Nami kwa kweli nitakifanya kiburi cha wenye kimbelembele kikome, na majivuno ya waonevu nitayashusha.+ 2 Timotheo 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Aleksanda+ yule fundi wa shaba alinitendea mimi mambo mengi mabaya—Yehova atamlipa kulingana na vitendo vyake+—
17 Naye aliendelea kuipenda laana,+ hivi kwamba ikamjia;+Wala hakupendezwa na baraka,+ Hivi kwamba ikawa mbali naye;+
11 Nami hakika nitaleta ubaya wake juu ya nchi yenye kuzaa,+ na kosa lao wenyewe juu ya waovu. Nami kwa kweli nitakifanya kiburi cha wenye kimbelembele kikome, na majivuno ya waonevu nitayashusha.+
14 Aleksanda+ yule fundi wa shaba alinitendea mimi mambo mengi mabaya—Yehova atamlipa kulingana na vitendo vyake+—