1 Samweli 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ninyi msiseme kwa majivuno sana,Msiache jambo lolote litoke vinywani mwenu bila kuzuiwa,+Kwa maana Yehova ni Mungu wa ujuzi,+Naye hupima matendo kwa njia ya haki.+ Zaburi 31:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Midomo inayosema uwongo na ishindwe kusema,+Inayosema mambo dhidi ya mwadilifu,+ bila kujizuia katika majivuno na dharau.+ Zaburi 73:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wameweka kinywa chao mbinguni,+Nao ulimi wao hutembea huku na huku duniani.+
3 Ninyi msiseme kwa majivuno sana,Msiache jambo lolote litoke vinywani mwenu bila kuzuiwa,+Kwa maana Yehova ni Mungu wa ujuzi,+Naye hupima matendo kwa njia ya haki.+
18 Midomo inayosema uwongo na ishindwe kusema,+Inayosema mambo dhidi ya mwadilifu,+ bila kujizuia katika majivuno na dharau.+