Mambo ya Walawi 27:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Hizo ndizo amri+ ambazo Yehova alimpa Musa kuwa amri kwa wana wa Israeli katika Mlima Sinai.+ Hesabu 36:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hizi ndizo amri+ na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova aliwaamuru wana wa Israeli kupitia Musa, katika nchi tambarare za jangwa la Moabu kando ya Yordani, huko Yeriko.+ Zaburi 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Maagizo+ kutoka kwa Yehova ni manyoofu,+ huufanya moyo ushangilie;+Amri+ ya Yehova ni safi,+ huyafanya macho yang’ae.+ Zaburi 119:151 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 151 Wewe uko karibu, Ee Yehova+Na amri zako zoteni kweli.+ Mhubiri 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.
13 Hizi ndizo amri+ na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova aliwaamuru wana wa Israeli kupitia Musa, katika nchi tambarare za jangwa la Moabu kando ya Yordani, huko Yeriko.+
8 Maagizo+ kutoka kwa Yehova ni manyoofu,+ huufanya moyo ushangilie;+Amri+ ya Yehova ni safi,+ huyafanya macho yang’ae.+
13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.