Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 27:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Hizo ndizo amri+ ambazo Yehova alimpa Musa kuwa amri kwa wana wa Israeli katika Mlima Sinai.+

  • Hesabu 36:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hizi ndizo amri+ na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova aliwaamuru wana wa Israeli kupitia Musa, katika nchi tambarare za jangwa la Moabu kando ya Yordani, huko Yeriko.+

  • Zaburi 19:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Maagizo+ kutoka kwa Yehova ni manyoofu,+ huufanya moyo ushangilie;+

      Amri+ ya Yehova ni safi,+ huyafanya macho yang’ae.+

  • Zaburi 119:151
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 151 Wewe uko karibu, Ee Yehova+

      Na amri zako zote

      ni kweli.+

  • Mhubiri 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Huu ndio mwisho wa mambo, kila jambo limekwisha sikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na kushika amri zake.+ Kwa maana huo ndio wajibu wote wa mwanadamu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki