4 Sikiliza,+ Ee Mungu wetu, kwa maana tumedharauliwa;+ na uzirudishe shutuma+ zao juu ya vichwa vyao wenyewe, nawe uwatoe waporwe katika nchi ya utekwani.
6 Na hakika yeye atakuwa kama mti ulio peke yake katika nchi tambarare ya jangwani wala hataona wakati mema yatakapokuja;+ lakini atakaa mahali pakavu katika nyika, katika nchi yenye chumvi ambayo haikaliwi.+