Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ninapoziona mbingu zako, kazi za vidole vyako,+

      Mwezi na nyota ambazo umetayarisha,+

  • Zaburi 69:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Mbingu na dunia na zimsifu,+

      Bahari na vyote vinavyotembea ndani yake.+

  • Zaburi 115:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ninyi ndio mliobarikiwa na Yehova,+

      Mtengenezaji wa mbingu na dunia.+

  • Zaburi 148:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Msifuni, enyi jua na mwezi.+

      Msifuni, enyi nyota zote za nuru.+

  • Isaya 40:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kuna Yeye anayekaa juu ya mviringo wa dunia,+ ambayo wakaaji wake ni kama panzi, Yeye anayetandaza mbingu kama shashi bora, anayezitandaza kama hema la kukaliwa ndani,+

  • Waroma 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana sifa zake ambazo hazionekani,+ zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea,+ kwa sababu zinaeleweka kwa vitu vilivyofanywa,+ yaani, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ hivi kwamba hawana sababu ya kujitetea.+

  • 1 Wakorintho 15:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Na kuna miili ya mbinguni,+ na miili ya duniani;+ lakini utukufu+ wa miili ya mbinguni ni wa namna moja, na ule wa miili ya duniani ni wa namna nyingine.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki