12 Kwa maana neno+ la Mungu liko hai+ nalo lina nguvu+ na ni lenye makali zaidi kuliko upanga wowote wenye makali kuwili+ nalo huchoma hata kufikia kugawanya nafsi+ na roho,+ na viungo na urojorojo wake, nalo linaweza kutambua fikira na makusudio ya moyo.+
16 Na katika mkono wake wa kuume kulikuwa na nyota saba,+ na kutoka katika kinywa chake upanga mkali, mrefu na wenye makali kuwili+ ulikuwa umechomoka, na sura yake ilikuwa kama jua linapoangaza katika nguvu zake.+