Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana neno+ la Mungu liko hai+ nalo lina nguvu+ na ni lenye makali zaidi kuliko upanga wowote wenye makali kuwili+ nalo huchoma hata kufikia kugawanya nafsi+ na roho,+ na viungo na urojorojo wake, nalo linaweza kutambua fikira na makusudio ya moyo.+

  • Ufunuo 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na katika mkono wake wa kuume kulikuwa na nyota saba,+ na kutoka katika kinywa chake upanga mkali, mrefu na wenye makali kuwili+ ulikuwa umechomoka, na sura yake ilikuwa kama jua linapoangaza katika nguvu zake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki