Zaburi 59:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa sababu ya dhambi ya kinywa chao, neno la midomo yao;+Na wakamatwe katika kiburi chao,+Naam, kwa sababu ya laana na udanganyifu ambao wanajizoeza. Yeremia 18:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kilio na kisikiwe kutoka katika nyumba zao, utakapoleta juu yao kwa ghafula kikundi cha waporaji.+ Kwa maana wamechimba shimo ili kunikamata, nao wameficha mitego kwa ajili ya miguu yangu.+ 2 Timotheo 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Aleksanda+ yule fundi wa shaba alinitendea mimi mambo mengi mabaya—Yehova atamlipa kulingana na vitendo vyake+—
12 Kwa sababu ya dhambi ya kinywa chao, neno la midomo yao;+Na wakamatwe katika kiburi chao,+Naam, kwa sababu ya laana na udanganyifu ambao wanajizoeza.
22 Kilio na kisikiwe kutoka katika nyumba zao, utakapoleta juu yao kwa ghafula kikundi cha waporaji.+ Kwa maana wamechimba shimo ili kunikamata, nao wameficha mitego kwa ajili ya miguu yangu.+
14 Aleksanda+ yule fundi wa shaba alinitendea mimi mambo mengi mabaya—Yehova atamlipa kulingana na vitendo vyake+—