Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 4:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Sembuse wale wanaokaa katika nyumba za udongo,

      Ambao msingi wao umo mavumbini!+

      Mtu huwaponda upesi kuliko nondo.

  • Mathayo 12:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Ndipo anasema, ‘Nitarudi kwenye nyumba yangu niliyoihama’; naye anapofika anaikuta haijakaliwa lakini imefagiwa ikawa safi na kupambwa.

  • 2 Wakorintho 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana tunajua kwamba nyumba yetu ya kidunia,+ hema+ hili, ikivunjwa,+ tutapata jengo kutoka kwa Mungu, nyumba isiyojengwa kwa mikono,+ ya milele+ mbinguni.

  • 2 Petro 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini ninaona hili kuwa sawa, maadamu ningali katika maskani hii,+ kuwaamsha ninyi kwa kuwakumbusha,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki