Ayubu 38:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na nuru yake huzuiwa isiwafikie waovu,+Na mkono ulio juu huvunjwa.+ Zaburi 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Uvunje mkono wa mwovu na mbaya.+Uutafute uovu wake mpaka usiupate tena.+ Zaburi 37:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana mikono ya waovu itavunjwa,+Bali Yehova atakuwa anawategemeza watu waadilifu.+ Ezekieli 30:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Mwana wa binadamu, hakika nitauvunja mkono wa Farao mfalme wa Misri,+ na, tazama! hautafungwa hata kidogo ili kuufanya upone kwa kutia kitambaa ili kuufunga,+ ili uwe na nguvu za kushika upanga.”
21 “Mwana wa binadamu, hakika nitauvunja mkono wa Farao mfalme wa Misri,+ na, tazama! hautafungwa hata kidogo ili kuufanya upone kwa kutia kitambaa ili kuufunga,+ ili uwe na nguvu za kushika upanga.”