Zaburi 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Naye akaja akiwa amepanda juu ya kerubi, akaja akiwa anaruka,+Naye akaja akiruka juu ya mabawa ya roho.+ Mathayo 24:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana kama vile umeme+ unavyotokea sehemu za mashariki na kuangaza mpaka sehemu za magharibi, ndivyo kuwapo kwa Mwana wa binadamu kutakavyokuwa.+
10 Naye akaja akiwa amepanda juu ya kerubi, akaja akiwa anaruka,+Naye akaja akiruka juu ya mabawa ya roho.+
27 Kwa maana kama vile umeme+ unavyotokea sehemu za mashariki na kuangaza mpaka sehemu za magharibi, ndivyo kuwapo kwa Mwana wa binadamu kutakavyokuwa.+