Zaburi 103:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hakututendea kulingana na dhambi zetu;+Wala kuleta juu yetu kile tunachostahili kulingana na makosa yetu.+ Zaburi 103:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kama vile baba anavyowaonyesha wanawe rehema,+Ndivyo ambavyo Yehova amewaonyesha rehema wale wanaomwogopa.+ Zaburi 121:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova anakulinda.+Yehova ni kivuli chako+ kwenye mkono wako wa kuume.+
10 Hakututendea kulingana na dhambi zetu;+Wala kuleta juu yetu kile tunachostahili kulingana na makosa yetu.+
13 Kama vile baba anavyowaonyesha wanawe rehema,+Ndivyo ambavyo Yehova amewaonyesha rehema wale wanaomwogopa.+