Yeremia 22:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Ole wake anayejenga nyumba yake,+ lakini si kwa uadilifu, na vyumba vyake vya juu, lakini si kwa haki, kwa kutumia mwanadamu mwenzake anayetumikia bure, na ambaye hampi malipo yake;+ Habakuki 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “ ‘Ole wake anayeipatia nyumba yake faida ya uovu,+ ili kukiweka kiota chake kileleni, ili kukombolewa kutoka mkononi mwa jambo lenye msiba!+ Habakuki 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “ ‘Ole wake anayejenga jiji kwa umwagaji wa damu, anayesimamisha imara mji kwa ukosefu wa uadilifu!+
13 “Ole wake anayejenga nyumba yake,+ lakini si kwa uadilifu, na vyumba vyake vya juu, lakini si kwa haki, kwa kutumia mwanadamu mwenzake anayetumikia bure, na ambaye hampi malipo yake;+
9 “ ‘Ole wake anayeipatia nyumba yake faida ya uovu,+ ili kukiweka kiota chake kileleni, ili kukombolewa kutoka mkononi mwa jambo lenye msiba!+
12 “ ‘Ole wake anayejenga jiji kwa umwagaji wa damu, anayesimamisha imara mji kwa ukosefu wa uadilifu!+