Zaburi 35:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ee Yehova, umeona.+ Usikae kimya.+Ee Yehova, usikae mbali nami.+ Zaburi 37:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Waovu wamechomoa upanga na kuupinda upinde wao,+Ili kumwangusha mwenye kuteseka na maskini,+Ili kuwachinja walio wanyoofu katika njia yao.+ Zaburi 50:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Umeyafanya mambo hayo, nami nikaendelea kukaa kimya.+Ulidhani kwamba kwa hakika mimi ningekuwa kama wewe.+Nitakukaripia,+ nami nitayarekebisha mambo mbele ya macho yako.+
14 Waovu wamechomoa upanga na kuupinda upinde wao,+Ili kumwangusha mwenye kuteseka na maskini,+Ili kuwachinja walio wanyoofu katika njia yao.+
21 Umeyafanya mambo hayo, nami nikaendelea kukaa kimya.+Ulidhani kwamba kwa hakika mimi ningekuwa kama wewe.+Nitakukaripia,+ nami nitayarekebisha mambo mbele ya macho yako.+