Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 14:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Hata hivyo, ijapokuwa alitaka kumuua, aliuogopa umati, kwa sababu walimwona kuwa nabii.+

  • Mathayo 21:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ule ubatizo wa Yohana, ulitoka wapi? Mbinguni au kwa wanadamu?”+ Lakini wakaanza kujadiliana kati yao wenyewe, wakisema: “Tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atatuambia, ‘Basi, kwa nini hamkumwamini?’+

  • Luka 1:76
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 76 Na wewe, mtoto mchanga, utaitwa nabii wa Aliye Juu Zaidi, kwa maana utakwenda mbele za Yehova ili kutayarisha njia zake,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki