Mathayo 14:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hata hivyo, ijapokuwa alitaka kumuua, aliuogopa umati, kwa sababu walimwona kuwa nabii.+ Mathayo 21:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ule ubatizo wa Yohana, ulitoka wapi? Mbinguni au kwa wanadamu?”+ Lakini wakaanza kujadiliana kati yao wenyewe, wakisema: “Tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atatuambia, ‘Basi, kwa nini hamkumwamini?’+ Luka 1:76 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 76 Na wewe, mtoto mchanga, utaitwa nabii wa Aliye Juu Zaidi, kwa maana utakwenda mbele za Yehova ili kutayarisha njia zake,+
25 Ule ubatizo wa Yohana, ulitoka wapi? Mbinguni au kwa wanadamu?”+ Lakini wakaanza kujadiliana kati yao wenyewe, wakisema: “Tukisema, ‘Ulitoka mbinguni,’ atatuambia, ‘Basi, kwa nini hamkumwamini?’+
76 Na wewe, mtoto mchanga, utaitwa nabii wa Aliye Juu Zaidi, kwa maana utakwenda mbele za Yehova ili kutayarisha njia zake,+