Mambo ya Walawi 18:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Uchi wa mke wa ndugu yako+ usiufunue. Ni uchi wa ndugu yako. Mambo ya Walawi 20:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na mtu akimchukua mke wa ndugu yake, ni chukizo.+ Ni uchi wa ndugu yake ambao ameufunua. Watakuwa bila mtoto. Mathayo 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ninawaambia kwamba mtu yeyote anayemtaliki mke wake na kumwoa mwingine, ila kwa sababu ya uasherati, anafanya uzinzi.”+
21 Na mtu akimchukua mke wa ndugu yake, ni chukizo.+ Ni uchi wa ndugu yake ambao ameufunua. Watakuwa bila mtoto.
9 Ninawaambia kwamba mtu yeyote anayemtaliki mke wake na kumwoa mwingine, ila kwa sababu ya uasherati, anafanya uzinzi.”+