Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na Yehova Mungu akamfanya mtu kutoka katika mavumbi+ ya nchi+ na kupuliza katika mianzi ya pua yake pumzi ya uhai,+ naye mtu akawa nafsi hai.+

  • Mwanzo 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Tazama, mimi ninaleta gharika+ ya maji duniani ili kuharibu kutoka chini ya mbingu wote wenye mwili walio na nguvu za uhai ndani yao.+ Kila kitu kilicho duniani kitakata pumzi.+

  • Ayubu 33:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Roho ya Mungu ilinifanya mimi,+

      Na pumzi ya Mweza-Yote mwenyewe ikanifanya kuwa hai.+

  • Mhubiri 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa maana kuna mwisho ambao huwafikia wana wa binadamu na mwisho ambao huwafikia wanyama, nao hufikiwa na mwisho uleule.+ Anavyokufa mmoja, ndivyo anavyokufa yule mwingine;+ nao wote wana roho moja,+ hivi kwamba mwanadamu si bora kuliko mnyama, kwa kuwa yote ni ubatili.

  • Isaya 42:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mungu wa kweli, Yehova, Muumba wa mbingu+ na Mkuu anayezitandaza;+ Yeye anayeitandaza dunia+ na mazao yake,+ Yeye anayewapa pumzi+ watu walio juu yake,+ na roho wale wanaotembea ndani yake, amesema hivi:+

  • Ufunuo 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na baada ya zile siku tatu na nusu+ roho ya uhai kutoka kwa Mungu ikaingia ndani yao,+ nao wakasimama kwa miguu yao, na woga mkubwa ukawaingia wale waliokuwa wakiwatazama.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki