17 “Tazama, mimi ninaleta gharika+ ya maji duniani ili kuharibu kutoka chini ya mbingu wote wenye mwili walio na nguvu za uhai ndani yao.+ Kila kitu kilicho duniani kitakata pumzi.+
19 Kwa maana kuna mwisho ambao huwafikia wana wa binadamu na mwisho ambao huwafikia wanyama, nao hufikiwa na mwisho uleule.+ Anavyokufa mmoja, ndivyo anavyokufa yule mwingine;+ nao wote wana roho moja,+ hivi kwamba mwanadamu si bora kuliko mnyama, kwa kuwa yote ni ubatili.
5 Mungu wa kweli, Yehova, Muumba wa mbingu+ na Mkuu anayezitandaza;+ Yeye anayeitandaza dunia+ na mazao yake,+ Yeye anayewapa pumzi+ watu walio juu yake,+ na roho wale wanaotembea ndani yake, amesema hivi:+
11 Na baada ya zile siku tatu na nusu+ roho ya uhai kutoka kwa Mungu ikaingia ndani yao,+ nao wakasimama kwa miguu yao, na woga mkubwa ukawaingia wale waliokuwa wakiwatazama.