5 Alipokuwa bado akisema, tazama! wingu jangavu liliwafunika, na, tazama! kulikuwa na sauti kutoka katika lile wingu, ikisema: “Huyu ni Mwanangu, mpendwa, ambaye nimemkubali;+ msikilizeni.”+
9 Tukipokea ushahidi ambao wanadamu hutoa,+ ushahidi ambao Mungu hutoa ni mkuu zaidi, kwa sababu huu ndio ushahidi ambao Mungu hutoa, jambo la kwamba ametoa ushahidi+ kumhusu Mwana wake.