17 Kwa maana alipokea kutoka kwa Mungu Baba heshima na utukufu,+ wakati maneno ya namna hii yalipotolewa kwake kwa utukufu wenye fahari: “Huyu ni mwanangu, mpendwa wangu, ambaye mimi mwenyewe nimemkubali.”+
9 Tukipokea ushahidi ambao wanadamu hutoa,+ ushahidi ambao Mungu hutoa ni mkuu zaidi, kwa sababu huu ndio ushahidi ambao Mungu hutoa, jambo la kwamba ametoa ushahidi+ kumhusu Mwana wake.