Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa maana wewe si Mungu anayependezwa na uovu;+

      Hakuna mtu yeyote mbaya atakayekaa na wewe kwa muda wowote.+

  • Isaya 59:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hapana, bali makosa yenu ndiyo mambo yanayosababisha mgawanyiko kati yenu na Mungu wenu,+ na dhambi zenu zimesababisha kufichwa kwa uso wake kutoka kwenu ili asisikie.+

  • Wakolosai 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa kweli, ninyi ambao hapo zamani mlikuwa mmetengwa,+ nanyi mlikuwa adui kwa sababu akili zenu zilikuwa zimekazwa juu ya matendo maovu,+

  • Yakobo 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Enyi wazinzi,+ je, hamjui kwamba urafiki na ulimwengu ni uadui na Mungu?+ Kwa hiyo, yeyote anayetaka kuwa rafiki+ ya ulimwengu anajifanya kuwa adui ya Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki