1 Wakorintho 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 na maneno yangu na mambo niliyohubiri hayakuwa kwa maneno yenye kushawishi ya hekima bali kwa wonyesho wa roho na nguvu,+ 1 Wathesalonike 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 kwa sababu habari njema tunayohubiri haikutokea katikati yenu kwa maneno peke yake bali pia kwa nguvu+ na kwa roho takatifu na usadikisho+ wenye nguvu, kama vile mnavyojua namna ya watu ambao sisi tulikuwa kwenu kwa ajili yenu;+
4 na maneno yangu na mambo niliyohubiri hayakuwa kwa maneno yenye kushawishi ya hekima bali kwa wonyesho wa roho na nguvu,+
5 kwa sababu habari njema tunayohubiri haikutokea katikati yenu kwa maneno peke yake bali pia kwa nguvu+ na kwa roho takatifu na usadikisho+ wenye nguvu, kama vile mnavyojua namna ya watu ambao sisi tulikuwa kwenu kwa ajili yenu;+